Shamba lenye rutuba linauzwa

Shamba lenye rutuba linauzwa

merere denis

Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
9
Reaction score
1
Shamba lipo Tanzania, mkoa wa pwani eneo la msata lina ukubwa wa ekari 30, halijawahi fanyiwa shughuli yoyote ile. Ni bado pori. Lina faa kwa ufugaji na shughuli za Kilimo kama mahindi,maharage, mbaazi, ufuta, mihogo, choroko pamoja na korosho.
Kwa maelezo zaidi Ninapatikana kwa namba 0693410942.
 
Hilo litakuwa mbinguni maana lingekuwa bongo ungesema mkoa lilipo
 
Msata sehemu gani mkuu, nielekeze kutokea junction ya kwenda Bagamoyo.

Je shamba liko umbali gani kutoka barabarani mkuu
 
Msata ipo mbinguni siku izi??
Sio kila Mtu anaijua Msata,
Usidhani kama wewe unaijua sana Msata basi na wenzio wanaijua hivyo hivyo,
Hata yeye nae kuna sehemu ambazo anazijua akizitaja wewe huzijui,
Na Pia kuna uwezekano kukawa Tanzania moja Msata haiko moja tu unayoijua wewe tu, pengine nae ana Msata yake anayoijua sasa anataka kujua ni Msata ipi
 
Tuwe makini eneo kubwa hapo limeshauzwa kwa institution mbalimbali. Tunaomba uhakika wa hilo na bei.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom