Shamba lina ukubwa Wa eka 5 na eka 2 INA Miti ya miaka 7 na 3 miaka 4Shamba lina ukubwa gani? Na umepanda miti ya aina gani na umri wake?
kumbe uko hadi huku best hongeraShamba lina ukubwa gani? Na umepanda miti ya aina gani na umri wake?
lina hati miliki yaje na je kuhusu mgogoro wa ardhi halina?Shamba lina ukubwa Wa eka 5 na eka 2 INA Miti ya miaka 7 na 3 miaka 4
Hahahaha....nipo besti. Hongera niipokee au niiache iive kidogo!!?? Tehe tehe....kumbe uko hadi huku best hongera
Nashukuru kwa majibu. Ni miti ya aina gani?Shamba lina ukubwa Wa eka 5 na eka 2 INA Miti ya miaka 7 na 3 miaka 4
Aina ya pineNashukuru kwa majibu. Ni miti ya aina gani?
Acha masihara ya shamba la mit ya mbao liuzwe kwa M8 tu...ebu tupe sababu ya kuishafanya hyo biashara ya kanisa...
Asante mkuu.Aina ya pine
Hakuna masihara, labda Wewe Ndio unaleta masiharaAcha masihara ya shamba la mit ya mbao liuzwe kwa M8 tu...ebu tupe sababu ya kuishafanya hyo biashara ya kanisa...