Shamba la Miti ya mbao linauzwa Njombe.

Shamba la Miti ya mbao linauzwa Njombe.

doricas

Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
28
Reaction score
5
Shamba la heka 20 linauzwa Njombe,kando kabisa ya barabara ya Songea.Lina miti ya mbao aina ya Pines yenye miaka minne.Bei ni sh Milioni moja kwa heka.Lipo eneo zuri na linafikika kwa urahisi sana.Kwa anayehitaji,tafadhali nitumie ujumbe Private.
 
Zipo heka ngapi? Na mazungumzo yapo?
 
Zipo heka 30,
Mazungumzo unakaribishwa.Ni shamba langu kabisa so halina utata.
 
Shamba la heka 20 linauzwa Njombe,kando kabisa ya barabara ya Songea.Lina miti ya mbao aina ya Pines yenye miaka minne.Bei ni sh Milioni moja kwa heka.Lipo eneo zuri na linafikika kwa urahisi sana.Kwa anayehitaji,tafadhali nitumie ujumbe Private.
Mawasiliano yako
 
Back
Top Bottom