SHAMBA LA MITI LINAUZWA
Habarini wana Jamvi.
Shamba la miti lenye ukubwa wa takribani ekari sabini (70), linauzwa (Ardhi pamoja na miti).
Mahali. Nje ya Kidogo ya mji wa Mafinga, Mkoani Iringa
Aina ya Miti: Pines
Umri wa Miti: Miaka 7 (kuna ambayo ipo tayari kuvunwa)
Bei: Maelewano (Unaweza kununua kwa ekari (vipande) au lote. [/B]
Kwa atakayehitaji
Mawasiliano: 0766300562/0716627557