Shamba la kukodi linatafutwa

Shamba la kukodi linatafutwa

kitumbotala

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
516
Reaction score
625
Wakuu habari za jioni!
naomba msaada mwenye uelewa au ufahamu wa mashamba ya kukodi maeneo ya Mkuranga au kigamboni ambapo patafaa kulima Matikiti Maji, kuwe na mazingira ya maji kwa aajili ya umwagiliaji.
Naomba tuwasiliane tafadhari.

Njoo PM Tuwasiliane
 
Kimazinchana, ila lazima uchimbe kisima, heka10
 
BAGAMOYO NINA SHAMBA MTO WAMI UNAPITIA NJIA INAYOKWENDA MBUGA YA SADANI.NINAKODISHA KWA SH 500,000 KWA EKARI KWA MWAKA.MSIMU UNAANZA JUNE 2017 - MARCH 2018.PANAFAA KWA KILIMO CHA TIKITI MAJI, VITUNGUU,NA MBOGA MBOGA.UTATUMIA MAJI YA MTO WAMI KWA UMWAGILIAJI.INABIDI UNUNUE PUMP YA KUSUKUMA MAJI.UKITAKA HATA EKARI 5 UNAPATA. MAWASILIANO 0767 61 00 68.
 
Njoo nikuuzie shamba lipo Ikwiriri unalima matikiti bila kuweka samadi wala mbolea na sio mbali na Dar unauwezo wa kwenda na kurudi na nauli ni 5000/= tu na usafiri upo wa kuanzia mbagara na kuishia hapo ikwuriri (Coster) ukipenda unapanda gari za Lindi/Mtwara(Utong).Nina ekari 13 na bei ni 300,000/=@ Zimekatwa miti yote wewe ni kusafisha nyasi tu na kupanda na vibarua kila asubuhi wanakuja kuomba kazi hapo hapo shambani.0657257509
 

Attachments

  • TIKITI.jpg
    TIKITI.jpg
    9.7 KB · Views: 33
  • IMG00225.jpg
    IMG00225.jpg
    5 KB · Views: 30
Ikwiriri hekari 25 pako kwenye bonde la maji.
Huko kanda hiyo sio huko usalama haujakaa poa kweli maafisa misitu wanauawa halafu wananchi waaambiwa wabebe mikaa wanakubali?
 
BAGAMOYO NINA SHAMBA MTO WAMI UNAPITIA NJIA INAYOKWENDA MBUGA YA SADANI.NINAKODISHA KWA SH 500,000 KWA EKARI KWA MWAKA.MSIMU UNAANZA JUNE 2017 - MARCH 2018.PANAFAA KWA KILIMO CHA TIKITI MAJI, VITUNGUU,NA MBOGA MBOGA.UTATUMIA MAJI YA MTO WAMI KWA UMWAGILIAJI.INABIDI UNUNUE PUMP YA KUSUKUMA MAJI.UKITAKA HATA EKARI 5 UNAPATA. MAWASILIANO 0767 61 00 68.
Hilo shamba unapitia miono?au hapa mwanzoni baada ya mto wami. .?
 
Wakuu habari za jioni!
naomba msaada mwenye uelewa au ufahamu wa mashamba ya kukodi maeneo ya Mkuranga au kigamboni ambapo patafaa kulima Matikiti Maji, kuwe na mazingira ya maji kwa aajili ya umwagiliaji.
Naomba tuwasiliane tafadhari.

Njoo PM Tuwasiliane
NINA SHAMBA HEKA 18 PALE KIMANZICHANA NIPIGIE TUONGEE 0657145555
 
Back
Top Bottom