Shamba lipo Mkamba mbele kidogo ya Kimanzichana, lina hekari 16 halipo mbali na barabara kuu. Umeme pia haupo mbali. Mkamba ipo njia ya kwenda Kibiti Lindi ni kama 25 km toka Mbagala. Eneo linafikika kirahisi kwa gari au pikipiki bei ni 40m anatakiwa mnunuzi wa shamba lote .
Tuwasiliane 0657145555 mimi ni dalali
Tuwasiliane 0657145555 mimi ni dalali