Shamba kuubwa lipo sokoni Dar Madale

Shamba kuubwa lipo sokoni Dar Madale

Papaa Kinyani

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
1,457
Reaction score
699
Shamba lenye uzio (block fenced) la ukubwa wa heka 2.5, lipo Dar - Madale - Kisauke likiwa na michungwa na mabanda ya kufugia kuku (full equiped with water drinkers) kuku wanaoweza kufikia elfu kumi linakodishwa. Eneo ni zuri pia kwa kilimo cha mbogamboga, mipapai, mananasi nk. maana maji ya kisima yapo.
Njoo uone upange bei, pia kama unataka kununua tutaongea.
Kwa muhitaji aliye serious tuu piga 0715274727 - Xhevior
 
Ni vema ungeweka nabei ya kuuzia ili kwa anaeweza kumudu akupigie akiwa amejipanga
 
Maamaaae asituzingue mwenye simu ampigie halaf aweke bei hapa.
 
Nimetoka kuongea nae kupitia kwenye simu anadai hilo eneo anauza Tsh millioni 950 na kukodisha milioni 500 kwa mwaka.
Mbona mi kaniambia bilioni 1 tu.
Nikamwambia najuta kukupigia.
 
Nimetoka kuongea nae kupitia kwenye simu anadai hilo eneo anauza Tsh millioni 950 na kukodisha milioni 500 kwa mwaka.
Kweli. Hata mimi kaniambia hivyo hivyo. Ila anaongea kama dalali vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom