Shamba Ekari 109 linauzwa lipo Iringa Ifunda kijiji cha Mgama lipo kwny mazingira mazuri na ardhi yake inakubali zao lolote linalokubaliana na hari ya hewa ya iringa pembeni kuna bwawa la maji unaloweza kutumia kwaajil ya kilimo cha nyanya....Bei ya shamba ni makubaliano
Piga simu 0716445573 kwa maelezo zaidi..
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Piga simu 0716445573 kwa maelezo zaidi..
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums