Nyie waleta uzi bana, kwa nini msihakiki japo jina kabla ya kuruka hewani ?.............bi mkubwa anaitwa Tshala Muana.
Enzi zake............ila waige yote lakini isiwe kujifunua..........na siku ukute "amesahau" kuvaa kofuli..............ni balaaaaaaaaaaaaaaa.