simba29
Senior Member
- Jun 22, 2011
- 193
- 67
Nichezee upate raha,
Kwa ujinga jazie furaha,
Ni binadamu kwako Mi kifaa,
Sote twafa hatuijui saa,
Kwangu umefanya kwako,
Mjinga mkubwa tacheka kifo chako,
Yote Yana mwisho,
Na yako kikomo kesho,
Moyo unazizima,
Hasira nafura cheche natema,
Navuja jasho nyayo mpaka juu,
Naapa kifo chako sikukuu,
Damu yangu namwaga,
Kwa fahari wanangu pate mwanga,
Sijali wangapi wametonga,
Mstari wa mbele nasonga,
Nikuondoshe mwanaharamu,
Mizimu na mababu wakaramu,
Sasa yatosha kipimo,
Pokea ya uovu mavuno,
0655880157
-S1mba
Kwa ujinga jazie furaha,
Ni binadamu kwako Mi kifaa,
Sote twafa hatuijui saa,
Kwangu umefanya kwako,
Mjinga mkubwa tacheka kifo chako,
Yote Yana mwisho,
Na yako kikomo kesho,
Moyo unazizima,
Hasira nafura cheche natema,
Navuja jasho nyayo mpaka juu,
Naapa kifo chako sikukuu,
Damu yangu namwaga,
Kwa fahari wanangu pate mwanga,
Sijali wangapi wametonga,
Mstari wa mbele nasonga,
Nikuondoshe mwanaharamu,
Mizimu na mababu wakaramu,
Sasa yatosha kipimo,
Pokea ya uovu mavuno,
0655880157
-S1mba