GE2025 Shaffi Dauda achukua fomu kuomba ridhaa ya ubunge jimbo la Temeke

GE2025 Shaffi Dauda achukua fomu kuomba ridhaa ya ubunge jimbo la Temeke

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mkuu wa Mahusiano ya Kimkakati Clouds Media na Mchambuzi nguli wa habari za michezo nchini Shaffi Dauda ‘Digala’ leo tarehe 30 Juni , 2025 amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi CCM kuwania Ubunge jimbo la Temeke
1751271460099.png
 
Huyu jamaa zaidi ya kuwa mkongwe kwenye kuongea ongea kuhusu soka sijaonaga potentiality yake kwenye ishu nyingine, kwanza anapata tabu sana kwenye kujenga hoja.
 
Back
Top Bottom