johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,663
- 143,044
Yeye mwenyewe ni Mwarabu 😄😄Itakuwa hayumo kwenye mgao wa waarabu!
Ameongea bungeni akichangia Bajeti kuuAlikiwa wapi kuyasema haya bungeni? Ndani ya bunge ukubali kuuza nchi, ukija Kidongo huku Bonde la Mpunga unajidai iko pamoja na sisi, huu ni unafiki na uzandiki namba moja
Wa kwanza kuhojiwa angekuwa sa100 kwani inaonekana ndiye staring wa movie hiiTungekuwa na taasisi umara za uchunguzi na zinazojitegemea leo watu wengi wangekuwa wameshaitwa hata kuhojiwa tu.
Pumbavu hawa wameanza kutubu mmoja mmoja kwa madhambi yao
Mbunge wa Gairo Bilionea Ahmed Shabiby ameitaka Serikali kuchukua na kuyafanyia Kazi Mawazo ya Wananchi kuhusu Bandari
Shabiby amesema si kila anayeipinga Serikali na kuikosoa ni Mpinzani wengine ni Wazalendo waliotukuka
Source: Mwanzo TV
Jumaa kareem!
Wameanza kusoma alama za nyakati, TEC imepinga hawana namna tenaAlikiwa wapi kuyasema haya bungeni? Ndani ya bunge ukubali kuuza nchi, ukija Kidongo huku Bonde la Mpunga unajidai iko pamoja na sisi, huu ni unafiki na uzandiki namba moja
Rostam na JKWa kwanza kuhojiwa angekuwa sa100 kwani inaonekana ndiye staring wa movie hii
Mbona alisema ndiyo Siku Ile au hakuwepo.Ameongea bungeni akichangia Bajeti kuu
Tusimhukumu hapa. Kuna uwezekano hakupata nafasi ya kuchangia, Hakuwa na uelewa ameupata baada ya mjadala kukolea au alikuwa hajausoma kabisa kwani ulipelekwa kwa kuchelewa pengine.Alikiwa wapi kuyasema haya bungeni? Ndani ya bunge ukubali kuuza nchi, ukija Kidongo huku Bonde la Mpunga unajidai iko pamoja na sisi, huu ni unafiki na uzandiki namba moja
Kweli Kabisa bwasheeTusimhukumu hapa. Kuna uwezekano hakupata nafasi ya kuchangia, Hakuwa na uelewa ameupata baada ya mjadala kukolea au alikuwa hajausoma kabisa kwani ulipelekwa kwa kuchelewa pengine.
Hv nae milionea huyo anaweza kudai mgowo,mm naamin wenye njaa na walafi ndio watakaoua Taifa.Itakuwa hayumo kwenye mgao wa waarabu!
Wachunguzi wenyewe ndiyo wananufaika wakubwa wa ufisadiTungekuwa na taasisi umara za uchunguzi na zinazojitegemea leo watu wengi wangekuwa wameshaitwa hata kuhojiwa tu.