Shabiby: Mawazo ya Wananchi kuhusu Mkataba wa Bandari yaheshimiwe, Siyo kila anayeipinga Serikali ni Mpinzani wengine ni Wazalendo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,663
143,044
Your browser is not able to display this video.

Mbunge wa Gairo Bilionea Ahmed Shabiby ameitaka Serikali kuchukua na kuyafanyia Kazi Mawazo ya Wananchi kuhusu Bandari

Shabiby amesema si kila anayeipinga Serikali na kuikosoa ni Mpinzani wengine ni Wazalendo waliotukuka

Source: Mwanzo TV

Jumaa kareem!
 
Mchakamchaka chinja aliselema alija! mkataba wa bandari 10% zitawatokea puani walizopiga wananchi hawapoi hawataki kiini macho cha kitu kinachoitwa mkataba wa bandari.
 





FaizaFoxy
 
Alikiwa wapi kuyasema haya bungeni? Ndani ya bunge ukubali kuuza nchi, ukija Kidongo huku Bonde la Mpunga unajidai iko pamoja na sisi, huu ni unafiki na uzandiki namba moja
Tusimhukumu hapa. Kuna uwezekano hakupata nafasi ya kuchangia, Hakuwa na uelewa ameupata baada ya mjadala kukolea au alikuwa hajausoma kabisa kwani ulipelekwa kwa kuchelewa pengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…