City Rider
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 403
- 1,210
Nimeona video ya kaoneka akilalamika Mandonga kupata pesa licha ya kuwa alimtwanga. Haya ni malalamiko ya kitoto sana kwa Bondia aliyeshinda pambano muhimu kama lile.
Wanamichezo na wasanii wa bongo wamezembea sana kwenye swala la branding wanatumia majina makubwa kunywa bia na kuopoa mademu badala ya biashara.
Kwanini hamjifunzi kwa the powerful brand Diamond Platnumz jamaa sio mwanamuziki mzuri lakini powerful and rich sababu ya brand.
Amkeni
Wanamichezo na wasanii wa bongo wamezembea sana kwenye swala la branding wanatumia majina makubwa kunywa bia na kuopoa mademu badala ya biashara.
Kwanini hamjifunzi kwa the powerful brand Diamond Platnumz jamaa sio mwanamuziki mzuri lakini powerful and rich sababu ya brand.
Amkeni