peno hasegawa JF-Expert Member Feb 24, 2016 12,828 21,457 Dec 16, 2019 #2 Kawe Alumni said: Hii ni awamu inayoacha alama Inatumikia Wananchi Click to expand... Unaota ndoto ya mchana.SGR itasambaratisha biashara ya malori hutaamini.Tatoa utabaki nayo wewe.running costs za malori na mikopo ya mabank mliyonayo,SGR ikianza ,Bora uwe na biashara nyingine hiyo hutalala usingizi .
Kawe Alumni said: Hii ni awamu inayoacha alama Inatumikia Wananchi Click to expand... Unaota ndoto ya mchana.SGR itasambaratisha biashara ya malori hutaamini.Tatoa utabaki nayo wewe.running costs za malori na mikopo ya mabank mliyonayo,SGR ikianza ,Bora uwe na biashara nyingine hiyo hutalala usingizi .
S Smiling killer JF-Expert Member May 1, 2018 1,291 1,121 Dec 16, 2019 #3 mamayoyo1 said: View attachment 1293774 Click to expand... Endeleeni kudanganyana!...Nonsense!