Itakuwa na manufaa sana kwao! Tunawakaribisha ni ndugu zetu hawa kuna wakati bandari yetu ilikuwa ikijaa mizigo yao. Nakumbuka gari za Merzalio za mtoto wa Mobutu. Convoy za.magari hata mia yanakwenda Congo, Zambia Malawi Zimbabwe. Tulipolala basi hatujaamka tena