Wajomba ndoa si lele mama, unapokua umeoa/olewa ujue kua ndoa inatengenezwa na tendo la ndoa(sex) bila hivyo inakua ndoano. Kila mwanandoa inatakiwa akate kiu ya ngono kwa mke/mme wake, hivyo inabidi mwanandoa uchakalike sio, la sivyo utaibiwa......
read attachment