Serious man needed baadae awe mume

TUPIAPO KA PICHA, CHURA YUPO?
 
Ni

Nikitimiza namba tatu si unipe punguzo kwenye namba nane?
 
Vingezo vyote ninavyo but dini ni muumini wa Hinduism!

Halafu umri sijatimiza vingezo, na demu mwingine nataka niogeze mwingine wawe hata 2!!

Mim sina kazi hadi itokee dili!
 
Mi naomba unipe kama mwezi hivi ntakucheki. Tatizo langu ni mweusi sana kwa hiyo ngoja ninywe mengi au nitumie kalolaiti. Ila vigezo vyako vingine mbona vinapingana na uislam?
 
Nna sifa hizo. Shaka ondoa
 
Dini tuna pishana nahio no 8 kma cio mkwara njoo tuyajenge
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…