Natafuta mchumba kokote aliko,mie ni mwanaume umri wangu mika 31..awe na miaka chin na hiyo na kuendelea.cyo rang,cyo dini wala elimu.cyo kabila coz hatuoani ili tuje kutambika..mwenye nia thabit anipm.vigezo na mashart kuzingatiwa.
Natafuta mchumba kokote aliko,mie ni mwanaume umri wangu mika 31..awe na miaka chin na hiyo na kuendelea.cyo rang,cyo dini wala elimu.cyo kabila coz hatuoani ili tuje kutambika..mwenye nia thabit anipm.vigezo na mashart kuzingatiwa.
Kila la heri japo hapa sio mahala pake,
Tangazo lako lina walakin,hujaweka vigezo vyako,wala vya unayemtaka?
Je interesti yako ni kwa jf members tu?vp kwa wasomaji wasio member je?ungewawekea hata email,ni ushauri tu.