SerikaliI: Tangaza ajira tuanze kutupia CV za halali

Ntate Mogolo

JF-Expert Member
Jun 5, 2016
403
677
Lahaula! Maisha ya kitaa, vijiweni toka asubuhi sasa baaaasi! Ni wakati wetu sasa, wenye CV za ukweli, ambao kwa miaka mingi tumekuwa wahanga wa kukosa ajira kujitanua kwa mshahara kila mwezi na posho mbalimbali za safari nk.

Wenye vyeti feki walitudharau na kututambia sana. Jamii ilituona kama vile sisi ndo vilaza tulioshindwa shule, kumbe kinyume chake.

Serikali kupitia wizara husika, tangazeni sasa hizo ajira zilizoachwa wazi na hao wahalifu wa kughushi nyaraka. Ili na sisi tuweze kuanza kutupia makaratasi yetu ambayo ni halali.

Nadhani sasa tutaheshimiana kitaa! Madharau yao yamefika mwisho! KUFA KUFAANA Wahenga walinena!
 
tatizo bado lipo mtaani kuna graduate zaidi ya 40,000.... certificate,diploma,degree,masters,post graduate wote wataenea apo kwenye 9932

Acha kujitoa ufahamu, hujasikia palikuwa tayari na maandalizi ya ajira elfu 52+ ongezea hizo za wafoji vyeti elfu 9+.

Japo, siyo nyingi hizo ajira elfu 60 lakini siyo kama bure.
 
Acha kujitoa ufahamu, hujasikia palikuwa tayari na maandalizi ya ajira elfu 52+ ongezea hizo za wafoji vyeti elfu 9+.

Japo, siyo nyingi hizo ajira elfu 60 lakini siyo kama bure.
wew utasubili sana hii bongo wajumvi wanaielewa hayo ni makalatas na ahadi ngoja uone utekelezaj
 
Ww ni kichaa kweli. Ajira hazipo kwa mujibu wa dikiteta uchwara. Utasubiri sana kwa serikali ya dikiteta uchwara. Kazi ni za makada tu
Endelea kuota ajira. Dikiteta uchwara amefuta ajira
 
tatizo bado lipo mtaani kuna graduate zaidi ya 40,000.... certificate,diploma,degree,masters,post graduate wote wataenea apo kwenye 9932
Hao 9000+ ni wale waliobainika! Ninahakika kama zoezi litakuwa endelevu idadi yao nikubwa sana.

Sasa, kutokana na tukio hili, wapo wengi tu wenye vyeti vya kughushi ambao wanajijua na kwa bahati hawakubainika! Hawa watajitoa wenyewe kimya kimya. Kwa hiyo mkuu ajira tutapata tu!

Tuanze kutupia CV za halali, ni wakati wetu kufuta aibu na fadheha tulokuwanayo kwa miaka mingi toka tumalize masomo.
 
Acha kujitoa ufahamu, hujasikia palikuwa tayari na maandalizi ya ajira elfu 52+ ongezea hizo za wafoji vyeti elfu 9+.

Japo, siyo nyingi hizo ajira elfu 60 lakini siyo kama bure.
Hizo ajira ni za nchi gani?
Teh teh teh teh teh
km unawaza ni kwa nchi ya Wadanganyika umechemka. Ajira mwenyekiti wako kafuta, zimebaki za makada tu. Kesho utasikia nani wa ccm kateuliwa kuwa mwenyekiti wa nn.
Unaota mkuu, ajira hazipo mkuu. Endelea kuota mkuu
 
Ww ni kichaa kweli. Ajira hazipo kwa mujibu wa dikiteta uchwara. Utasubiri sana kwa serikali ya dikiteta uchwara. Kazi ni za makada tu
Endelea kuota ajira. Dikiteta uchwara amefuta ajira
Au na wewe umepigwa panga Nini mbona povu linakutoka hivyo
 
Hao 9000+ ni wale waliobainika! Ninahakika kama zoezi litakuwa endelevu idadi yao nikubwa sana.

Sasa, kutokana na tukio hili, wapo wengi tu wenye vyeti vya kughushi ambao wanajijua na kwa bahati hawakubainika! Hawa watajitoa wenyewe kimya kimya. Kwa hiyo mkuu ajira tutapata tu!

Tuanze kutupia CV za halali, ni wakati wetu kufuta aibu na fadheha tulokuwanayo kwa miaka mingi toka tumalize masomo.
Mkuu km una mawazo hayo futa kbsa. Ajira zimeshafutwa kitambo sana. Huu ni mwaka wa 2 sasa. Endelea kuota mkuu lbd unaweza kuwa kweli.
Ile siyo tanzania lbd kwa nchi za nje ila siyo kichwa cha mwendawazimu Tz
 
Ww ni kichaa kweli. Ajira hazipo kwa mujibu wa dikiteta uchwara. Utasubiri sana kwa serikali ya dikiteta uchwara. Kazi ni za makada tu
Endelea kuota ajira. Dikiteta uchwara amefuta ajira
Mkuu mimi siyo kichaa! Kama utafanya utafiti, utanielewa! Wakati wa uchaguzi mwaka juzi, hawa 9000+ walikuwa kambi ya JPM na walikuwa wanatubeza sana tulokuwa vijiweni jobless!

Mabomu ya machozi yalirushwa kwenye vijiwe vya majobless, kwa vile tulionekana kuvutiwa na sera za mapipoooz! Kweli, hilo ni sawa, sisi ni pipoooz!

Hakuna ujanja, hizo nafasi 9000+ lazima zijazwe! Ma pipoooz tunapenya mulemule! Hawawezi kuomba kadi ya chama wakati wa usaili.
 
Au na wewe umepigwa panga Nini mbona povu linakutoka hivyo
Unachekesha sana. Mm nipo private sector nafanya kazi huko baada ya dikiteta uchwara kufuta ajira za wanyonge mwaka jana aliposema mwez mmoja au haitazid 2 mpaka leo kaingia mitini.
Unamawazo finyu sana km mwenyekit wa chama cha majambazi. Haujasoma nilichokiandika au ww ni BASHITE?
Mkuu nimesoma darasa 1 mpaka chuo kwa pesa yangu,na jasho langu.
Ww utakuwa bashite tu. Umeshasahau mjinga mmoja alifuta kazi
 
Unachekesha sana. Mm nipo private sector nafanya kazi huko baada ya dikiteta uchwara kufuta ajira za wanyonge mwaka jana aliposema mwez mmoja au haitazid 2 mpaka leo kaingia mitini.
Unamawazo finyu sana km mwenyekit wa chama cha majambazi. Haujasoma nilichokiandika au ww ni BASHITE?
Mkuu nimesoma darasa 1 mpaka chuo kwa pesa yangu,na jasho langu.
Ww utakuwa bashite tu. Umeshasahau mjinga mmoja alifuta kazi
Hata kama upo kitandani umelala Mimi nitajuaje ,wewe lazima utakuwa bashite ndio maana povu linakutoka ,rudi shule kama huna vyeti pambafu ,unafikiri kusoma kazi rahisi
Tumbua mangu ....
 
Mkuu mimi siyo kichaa! Kama utafanya utafiti, utanielewa! Wakati wa uchaguzi mwaka juzi, hawa 9000+ walikuwa kambi ya JPM na walikuwa wanatubeza sana tulokuwa vijiweni jobless!

Mabomu ya machozi yalirushwa kwenye vijiwe vya majobless, kwa vile tulionekana kuvutiwa na sera za mapipoooz! Kweli, hilo ni sawa, sisi ni pipoooz!

Hakuna ujanja, hizo nafasi 9000+ lazima zijazwe! Ma pipoooz tunapenya mulemule! Hawawezi kuomba kadi ya chama wakati wa usaili.
Mkuu km unamategemeo ya serikali ya Tanzania itatoa ajira. Pole sana. Endelea kusubiri
km increment kakataa kutoa na kafuta kbsa leo hizo ajira atatoa?
Kuwa na malengo na mwendawazimu ni kujipa presha ya moyo. Endelea kusubiri
Km unataka kaz bora ujiajiri au utafuta kweny private sekta na siyo kumsubiri mwendawazimu akuamshe asubuhi.
Pole sana
 
Hata kama upo kitandani umelala Mimi nitajuaje ,wewe lazima utakuwa bashite ndio maana povu linakutoka ,rudi shule kama huna vyeti pambafu ,unafikiri kusoma kazi rahisi
Tumbua mangu ....
Unachekesha sana. Huyo bashite kila siku mnakunywa naye chai halafu mnasema uhakiki hautawahusu watu walio kwenye ganz ya siasa. Mkuu wa wilaya, na mkoa nao ni wanasiasa.
Bora hata ningekuwa kwenye hiyo list ya walioghushi cheti kuliko mwendawazimu mmoja kufuta ajira za watu zaid ya maelfu kisa uhakiki wa vyeti feki huku wengine wanalindwa. Tangu mwaka jana kakataa kuajiri, sijui anataka tule polis
Bora ningekuwa kweny list ya waliofoji cheti. Eti bashite? Bashite mwenyew anakula na kuny.a kupitia kwa mkulu. Umemuona hata kweny list?
 
Ww ni kichaa kweli. Ajira hazipo kwa mujibu wa dikiteta uchwara. Utasubiri sana kwa serikali ya dikiteta uchwara. Kazi ni za makada tu
Endelea kuota ajira. Dikiteta uchwara amefuta ajira
Kweli kabisa, jamaa kafuta ajira. Sio kipaumbele kwake. Yeye kipaumele ni ndege na bashite bas
 
f1053a579e0cf0e7c2742d12cbd45c30.jpg
 
Lahaula! Maisha ya kitaa, vijiweni toka asubuhi sasa baaaasi! Ni wakati wetu sasa, wenye CV za ukweli, ambao kwa miaka mingi tumekuwa wahanga wa kukosa ajira kujitanua kwa mshahara kila mwezi na posho mbalimbali za safari nk.

Wenye vyeti feki walitudharau na kututambia sana. Jamii ilituona kama vile sisi ndo vilaza tulioshindwa shule, kumbe kinyume chake.

Serikali kupitia wizara husika, tangazeni sasa hizo ajira zilizoachwa wazi na hao wahalifu wa kughushi nyaraka. Ili na sisi tuweze kuanza kutupia makaratasi yetu ambayo ni halali.

Nadhani sasa tutaheshimiana kitaa! Madharau yao yamefika mwisho! KUFA KUFAANA Wahenga walinena!
Endelea kusubiri,naona bado hujaielewa sinema inavyoenda , u are dancing according to the tune
 
Acha kujitoa ufahamu, hujasikia palikuwa tayari na maandalizi ya ajira elfu 52+ ongezea hizo za wafoji vyeti elfu 9+.

Japo, siyo nyingi hizo ajira elfu 60 lakini siyo kama bure.
Na wewe sijui una tatizo gani! Unamwani mwanasiasa?? Yeye ndiye alisema zoezi la uhakiki litachukua miezi miwili je lilichukua mda gani unavyojua!? Miezi miwili?? Acha kujipa moyo mkuu!
 
WOTE HUMU KM MNAMATEGEMEO ZA AJIRA ZA SERIKALI POLE SANA. HIZO AJIRA USIWEKE 100% FUTA KBSA HILO SUALA
KM ZITATOKA BASI NI KWA KUDRA ZA MWENYEZI MUNGU ILA USIWEKE 100% ZITATOKA.
Nawashauri tu, mjiajiri au mtafute sector binafsi. Serikali muwekee 0.5%. Unaweza subiri mpaka ukazeeka bado unasubiri. Tafuteni sehem zingine sbb muda unakwenda
''KUENDELEA KUMSUBIRIA MTU ANAYEKULA NA KU..NYA AKUJALI NI NGUMU SANA LBDA KM ANA HOFU NA MUNGU"
Endelea kusubiria ajira, siyo km nawakatisha tamaa no ni hali halisi. Mwisho wa siku ww unasubiri, wenzako huku wamejenga na wanadrive ww unasubiri za serikali
 
Back
Top Bottom