Inasemekana serikali imechukua uamuzi wa kufuta BRN. Nipongeze serikali hii kwa hatua hiyo...
Ombi letu, tunaomba mfute na sekretariate ya ajira. Hawa majamaa hakuna wanachokifanya, wamekuwa na urasimu mkubwa sana na wabaguzi sana...
Magufuli chapa kazi. BRN ilikuwa jipu linalokula ela. Lingine ni hili sekreatriate ya ajira...
Mwisho, tunaomba sasa ufungulie ajira serikalini... Hali mbaya huku mitaani
Ombi letu, tunaomba mfute na sekretariate ya ajira. Hawa majamaa hakuna wanachokifanya, wamekuwa na urasimu mkubwa sana na wabaguzi sana...
Magufuli chapa kazi. BRN ilikuwa jipu linalokula ela. Lingine ni hili sekreatriate ya ajira...
Mwisho, tunaomba sasa ufungulie ajira serikalini... Hali mbaya huku mitaani