Philipo Mwakibinga
Senior Member
- May 13, 2013
- 110
- 175
UBADHIRIFU,wa pesa za umma uliofanywa na serikali kuu kwakipindi cha mwaka 2008 pekee, NI Tsh,772,392,715,400/=
Pesa hizi kama zingetumika kununua matrekta kwaajili ya kuboresha kilimo kwa bei ya Tsh,20,000,000/= KWA KILA MOJA
PANGE PATIKANA MATREKTA,3,862,ambayo ni wastani wa matrekta MAWILI katika kila KATA kwa TANZANIA NZIMA.
Pesa hizi kama zingetumika kununua matrekta kwaajili ya kuboresha kilimo kwa bei ya Tsh,20,000,000/= KWA KILA MOJA
PANGE PATIKANA MATREKTA,3,862,ambayo ni wastani wa matrekta MAWILI katika kila KATA kwa TANZANIA NZIMA.