DOKEZO Serikali ya Mtaa Mbezi Msumi wanatumia Mashine Feki kutoa risiti? Ukii-scan hauoni pesa inaelekea wapi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Habari zenu Wanajamii Forums, juzi kati niliona kuna Mdau ameandika kuhusu suala la uzoaji taka nami nina kero, nimeona nitumie jukwaa hili la Fichua uovu kufikisha ujumbe huu ili mamlaka zichukue hatua.

Huku kwetu Kata ya Mbezi Msumi, Dar es Salaam viongozi wa Serikali za Mtaa wanatulipisha Shilingi 5,000 kila mwezi kwa ajili ya kuzoa na kukusanya takataka, kulipa sio ishu, ila wanakulazimisha ulipe uwe una taka au hauna hilo ni juu yako.

Mfano wanaenda hadi kwenye maduka ya jumla ambayo uchafu wao labda ni michanga tu ambayo inaingizwa ndani na wateja, nao wanalazimishwa walipe, usipolipa wanakuchukulia hatua.

Hilo ni cha mtoto, kubwa zaidi kuna jamaa yetu hapa ana duka alitozwa faini shilingi 30,000 kutokana na suala hilohilo la takataka, akalipa na akapewa risiti kabisa yam ashine, lakini walipoondoka tukai scan ile risiti kuona fedha inaelekea wapi, hatukupata jibu.

Risiti wanaolipisha watu mtaani kweli unaona zinatoka kwenye mashine yao lakini uki scan hauoni pesa inaelekea wapi, wakati ukichukua risiti ya mafuta kwenye kituo cha mafuta au sehemu nyingine wanapotoa risiti ya elektroniki unaona kabisa flow ya fedha yako inapoelekea.

Inavyoonesha kuna upigaji unafanyika hapo si bure, Mamlaka ziamke zifuatilie hizi mashine zinazotumiwa Kata ya Mbezi Msumi na kwingineko, inawezekana hii ni sample tu ya kinachofanyika sehemu mbalimbali.
 
Habari zenu Wanajamii Forums, juzi kati niliona kuna Mdau ameandika kuhusu suala la uzoaji taka nami nina kero, nimeona nitumie jukwaa hili la Fichua uovu kufikisha ujumbe huu ili mamlaka zichukue hatua.

Huku kwetu Kata ya Mbezi Msumi, Dar es Salaam viongozi wa Serikali za Mtaa wanatulipisha Shilingi 5,000 kila mwezi kwa ajili ya kuzoa na kukusanya takataka, kulipa sio ishu, ila wanakulazimisha ulipe uwe una taka au hauna hilo ni juu yako.

Mfano wanaenda hadi kwenye maduka ya jumla ambayo uchafu wao labda ni michanga tu ambayo inaingizwa ndani na wateja, nao wanalazimishwa walipe, usipolipa wanakuchukulia hatua.

Hilo ni cha mtoto, kubwa zaidi kuna jamaa yetu hapa ana duka alitozwa faini shilingi 30,000 kutokana na suala hilohilo la takataka, akalipa na akapewa risiti kabisa yam ashine, lakini walipoondoka tukai scan ile risiti kuona fedha inaelekea wapi, hatukupata jibu.

Risiti wanaolipisha watu mtaani kweli unaona zinatoka kwenye mashine yao lakini uki scan hauoni pesa inaelekea wapi, wakati ukichukua risiti ya mafuta kwenye kituo cha mafuta au sehemu nyingine wanapotoa risiti ya elektroniki unaona kabisa flow ya fedha yako inapoelekea.

Inavyoonesha kuna upigaji unafanyika hapo si bure, Mamlaka ziamke zifuatilie hizi mashine zinazotumiwa Kata ya Mbezi Msumi na kwingineko, inawezekana hii ni sample tu ya kinachofanyika sehemu mbalimbali.
Wanatoa receipt mashine ikiwa offline au kuna jinsi ya ku comand itoe mfano 300 lakini unaifanyia edit inasoma 30,000. Pia kuna jamaa wa IT wa halmashauri wanaifanyia default settings inakuwa ni yao ya Mapato.
 
Habari zenu Wanajamii Forums, juzi kati niliona kuna Mdau ameandika kuhusu suala la uzoaji taka nami nina kero, nimeona nitumie jukwaa hili la Fichua uovu kufikisha ujumbe huu ili mamlaka zichukue hatua.

Huku kwetu Kata ya Mbezi Msumi, Dar es Salaam viongozi wa Serikali za Mtaa wanatulipisha Shilingi 5,000 kila mwezi kwa ajili ya kuzoa na kukusanya takataka, kulipa sio ishu, ila wanakulazimisha ulipe uwe una taka au hauna hilo ni juu yako.

Mfano wanaenda hadi kwenye maduka ya jumla ambayo uchafu wao labda ni michanga tu ambayo inaingizwa ndani na wateja, nao wanalazimishwa walipe, usipolipa wanakuchukulia hatua.

Hilo ni cha mtoto, kubwa zaidi kuna jamaa yetu hapa ana duka alitozwa faini shilingi 30,000 kutokana na suala hilohilo la takataka, akalipa na akapewa risiti kabisa yam ashine, lakini walipoondoka tukai scan ile risiti kuona fedha inaelekea wapi, hatukupata jibu.

Risiti wanaolipisha watu mtaani kweli unaona zinatoka kwenye mashine yao lakini uki scan hauoni pesa inaelekea wapi, wakati ukichukua risiti ya mafuta kwenye kituo cha mafuta au sehemu nyingine wanapotoa risiti ya elektroniki unaona kabisa flow ya fedha yako inapoelekea.

Inavyoonesha kuna upigaji unafanyika hapo si bure, Mamlaka ziamke zifuatilie hizi mashine zinazotumiwa Kata ya Mbezi Msumi na kwingineko, inawezekana hii ni sample tu ya kinachofanyika sehemu mbalimbali.
Ushuru wa taka unatokana na Sheria ndogo za Usafi na utunzaji wa mazingira na zinatungwa na baraza la madiwani kupitia Halmashauri na kupitishwa na Wizara (TAMISEMI).


Inapotungwa sheria ndogo na kuwekwa viwango vya ada za uzoaji wa taka, hazina uhusiano kwamba wewe unazalisha taka au huzalishi, ni kila mtu.

Tatizo wakati hii miswaada inaandaliwa na kupekwa kwenye ofisi za kata huwa hamshiriki kutoa maoni.
 
Kiongozi mwenyewe bibi chaudele watu wana jikwapulia kadri wanavyo weza Wala hata hajali yeye bize misele mingi kwa shoga zake , ukipata nafasi ya kukwapua piga bila kuangalia nyuma
 
Ushuru wa taka unatokana na Sheria ndogo za Usafi na utunzaji wa mazingira na zinatungwa na baraza la madiwani kupitia Halmashauri na kupitishwa na Wizara (TAMISEMI).


Inapotungwa sheria ndogo na kuwekwa viwango vya ada za uzoaji wa taka, hazina uhusiano kwamba wewe unazalisha taka au huzalishi, ni kila mtu.

Tatizo wakati hii miswaada inaandaliwa na kupekwa kwenye ofisi za kata huwa hamshiriki kutoa maoni.
Kwamba lini wananchi walitangaziwa wakagoma kushiriki!? Inshort huwa hawatangazi wananchi kwenda kutoa maoni
 
Kwamba lini wananchi walitangaziwa wakagoma kushiriki!? Inshort huwa hawatangazi wananchi kwenda kutoa maoni
Mzee siko hapa kutetea chochote.

Ni lini umewahi kwenda ofisi za Mtendaji wa Kata kusoma matangazo kwenye notisi board?


Sheria ikishatungwa na kuchapishwa kwenye Gazeti la serikali tayari inaanza kutumika!!

Na kwakuwa Diwani anachukuliwa Kama mwakilishi wako, na ndio mhusika unadhani watajali
 
Mzee siko hapa kutetea chochote.

Ni lini umewahi kwenda ofisi za Mtendaji wa Kata kusoma matangazo kwenye notisi board?


Sheria ikishatungwa na kuchapishwa kwenye Gazeti la serikali tayari inaanza kutumika!!

Na kwakuwa Diwani anachukuliwa Kama mwakilishi wako, na ndio mhusika unadhani watajali
Lini umeona diwani au mwenyekiti anawapa elimu iyo wananchi, maana wengi hawajui hayo mkuu.
 
Lini umeona diwani au mwenyekiti anawapa elimu iyo wananchi, maana wengi hawajui hayo mkuu.
Diwani ni wako wewe ndio umempigia kura, kamuulize.


Hata kama huridhiki mwambie apeleke hoja wao ndio wanatunga sheria ndogo na Wana uwezo wa kuzibadilisha pia.
 
Msumi ( Kwa yahaya, Kwa ISSA, kwa bundala)...nakumbuka Kuna mwenyekiti sijui mtendaji aliuawawa akiwa ofisini kwake sijajua tatizo Nini had Leo...
 
Kwa hiyo App ya TRA inasomaje riziti ya Halmashauri wakati hizi ni taasisi mbili tofauti na zenye mifumo tofauti ya kukusanya mapato?

Halmashauri zote nchini zinatumia mfumo wa Taus, ila TRA hawatumii Taus katika kukusanya mapato.

Sasa kama ni hivyo, ukitumia TRA app ku-scan risiti ya Halmashauri ni lazima ikatae kwa sababu siyo risiti ya mfumo wa TRA.

Ujinga wa karne ya 21 ni kushindwa kujifunza na siyo kutokujua kusoma na kuandika.

Mimi nina uhakika hili halina ukweli.
 
Msumi ( Kwa yahaya, Kwa ISSA, kwa bundala)...nakumbuka Kuna mwenyekiti sijui mtendaji aliuawawa akiwa ofisini kwake sijajua tatizo Nini had Leo...
Kama hujajua tatizo ni kwanini Kelvin Mowo (RIP) aliuawa basi wewe ndiye tatizo husika.

Hii habari iliandikwa na kusimuliwa kwa kina sana
 
Mzee siko hapa kutetea chochote.

Ni lini umewahi kwenda ofisi za Mtendaji wa Kata kusoma matangazo kwenye notisi board?


Sheria ikishatungwa na kuchapishwa kwenye Gazeti la serikali tayari inaanza kutumika!!

Na kwakuwa Diwani anachukuliwa Kama mwakilishi wako, na ndio mhusika unadhani watajali
Kuna watu waneshindwa kutimiza wajibu wao maana kuna wajumbe wa mitaa hao ndiyo wangepaswa kuitisha mikutano na kuwajuliisha wananchi mambo kama hayo lla hawafanyi wanajua kudalalia viwanja tu na kusubiri wakati wa uchaguzi wapige pesa.
 
Diwani ni wako wewe ndio umempigia kura, kamuulize.


Hata kama huridhiki mwambie apeleke hoja wao ndio wanatunga sheria ndogo na Wana uwezo wa kuzibadilisha pia.
Huyo mara ya mwisho kufika sijui ni lini anasubiri uchaguzi ukaribie
 
Back
Top Bottom