Serikali tupeni mishahara yetu

Serikali tupeni mishahara yetu

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
1. Kazi tumefanya

2. Mwezi umeisha

3. Kazi tunaendelea kufanya

4. Mshahara ni haki yetu

5.Mshahara hulipwa mwisho wa mwezi

Mbona kimya hadi leo tarehe 2/12/2013? Tafadhali Serikali,tupeni mishahara yetu. Mtulipe tusepe! Wapi TUCTA!?
 
sErikali ya nchi gani?????? mbona mbeya vijijini mshahara tumelipwa na umeisha we uko wapi
 
1. Kazi tumefanya

2. Mwezi umeisha

3. Kazi tunaendelea kufanya

4. Mshahara ni haki yetu

5.Mshahara hulipwa mwisho wa mwezi

Mbona kimya hadi leo tarehe 2/12/2013? Tafadhali Serikali,tupeni mishahara yetu. Mtulipe tusepe! Wapi TUCTA!?

huna plan B..?!
 
huna plan B..?!

we vipi? mshahara ni haki ya mfanyakazi whether ana plan b au hana. kwahiyo kama ana plan b mshahara una uhusiano gani na plan b yake? serikali iache kukopa wafanyakazi!!
 
Ni dhairi sasa watanzania tu watu wa hovyo. ndio maana tulichagua watu hovyo. katika hatua ya kwanza, iwapo watz akili zetu zingekuwa na akili, tusingemchagua jeikeei.huyu jamaa ni hopeless. hajali wafanyakazi, mishara kiduchu, kodi kubwa na bado unacheleweshwa.

next time tujifunze, watu wa aina ya jeikei si wa kuwachekea, ni majanga tupu
 
we vipi? mshahara ni haki ya mfanyakazi whether ana plan b au hana. kwahiyo kama ana plan b mshahara una uhusiano gani na plan b yake? serikali iache kukopa wafanyakazi!!

okey na assume plan b ipo au haipo unazani utafanyaje upate mshahara wako kwa wakati kuandamana hauwezi umeng'ang'ania tu keyboard ha ha ha!
 
Back
Top Bottom