Serikali na ugonjwa wa malaria


Wataalamu wa vipimo ndio wanazingua na sio kipimo mkuu. Usije danganyika tena.
Vitu watu wanavyokosea ni"
*uhifadhi mbovu wa vipimo, mRDT zikihifadhiwa katika mazingira yasiyo rafiki zinapoteza ubora.
* vipimo kuexpire, hilo nimeina sehemu nyingi either ile strip au buffer unakuta imepitwa na wakati na watu wanatumia tu kama kwamba hawaoni.
* mazoea, wapimaji wengi wanatumia uzoefu badala ya kufuata SOP.
*ulr mtindo wa kuchanganya changanya buffer sijui kwa nini watu hawauachi, wataalamu strips zikiisha na yale maji katupe tu, sasa kuna wengine wanayahifadhi miezi na miezi kwa nini usipate majibu ya uongo.

mRDT iko very sensitive, shida ni sisi. Japo binafsi kucheki malaria huwa naenda kwa BS ni kea vile tu nakuwa na uhakika na mtu anayepima au ikibidi nasimamia shoo mwenyewe. Bs for MPs inapoteza muda, na ni rahisi mtu kutoa majibu ya uongo kwa kutokujua au kuona vibaya au kuwa na haraka. Serikali iweke mkazo tu kwa mafundi sanifu wa maabara kuwa makini na hizo mRDT bado zinatufaa sana.
 
Uko mbali sana na uhalisia, utakua unaishi zama za ujima

Ukibainika na serikali unatumia microscope utajuta kuzaliwa tz

Sa we hizo sera za kutumia microscope na mrdt kwa pamoja sijui umetoa wapi
Acha upotoshaji...sasa kuna Sera ya maralia microscope na serekali inafundisha wataalamu nchi nzima,hii ni ili kujua parasitemia/quantity and speciation tofauti na mrdt,pia serekali inagawa darubini Kwa waliowafundisha..kama hujui kitu better kunyamaza
 
Uko sahh lakn izo sababu zako sio za kweli nenda kasome tena couses of false negative kwa manual ya MRDT.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…