Kwa muda mrefu tumekuwa kwenye muungano huku Zanzibar wakiwa na serikali ya huku mambo ya Tanganyika yakishughulikiwa na serikali ya Muungano na rais wa Jamhuri ya muungano akiwa pia rais Tanzania bara.
Mwelekeo unaonesha katiba mpya itaturejesha kule kule, mimi nadhani kama tunataka muungano dawa ni kuwa na serikali moja huku kila upande uwe tayari kupoteza hadhi na Jina lake. Tukifanya hivyo tunajenga mazingira ya kuelekea umoja wa Afrika.
Mwelekeo unaonesha katiba mpya itaturejesha kule kule, mimi nadhani kama tunataka muungano dawa ni kuwa na serikali moja huku kila upande uwe tayari kupoteza hadhi na Jina lake. Tukifanya hivyo tunajenga mazingira ya kuelekea umoja wa Afrika.