Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,743
- 22,452
Serikali ya Tanzania imesema iko mbioni kukamilisha mradi wa meli tatu katika Ziwa Nyasa Mkoa wa Ruvuma.
Mradi huo utagharimu takribani shilingi bilioni 27 za kitanzania
Meli hizo mbili zitakuwa za mizigo na moja ya abiria.
Zitakuwa na uwezo wa kubeba tani elfu 1 kila moja na watu 200 na tani 200 za mizigo.
Mradi huo utagharimu takribani shilingi bilioni 27 za kitanzania
Meli hizo mbili zitakuwa za mizigo na moja ya abiria.
Zitakuwa na uwezo wa kubeba tani elfu 1 kila moja na watu 200 na tani 200 za mizigo.