Inasemekana kuwa serikali inaweza kuwa na mpango wa kuzirudisha shule za vipaji maalumu hasa kwa kuboresha zile zilizopo na kujenga nyingine kila mkoa ili kulinda na kukuza vipaji vya watoto wa kitanzania bila kujali vipato vya familia wanazo toka.
Shule hizo ambazo zitakuwa kwa kila kanda kwa Alevel na kila mkoa kwa Olevel zitachukua watoto walifanya vizuri kutoka shule za Olevel na msingi kama zilivyo kuwa hapo awali shule za ilboru ,mzumbe, Msalato etc.
Mpango huo utagusa kozi zote na combination zote hapa nchini na zitatuhusu hata vijana kutoka nchi za jirani kujiunga kwa ada kubwa au kwa ufadhili za serikali zao.
Mpango huo pia utaenda sambamba na kuandaa vyuo maalumu vya elimu ya juu kwa vijana wanao fanya vizuri ili kujenga uzalendo na kupata vijana wazuri watakao chukua majukumu makubwa hapa nchini.
Pamoja na hilo pia kuna uwezekano wa kufufua chuo cha siasa ambapo hakuna mtu atakaye gombea urais au ubunge bila kupitia chuo hicho ambacho kitajikita kwenye utawala, Katiba, uongozi, Mambo ya nje, Siasa na mambo yanayo ihusu Tanzania kwani kumebainika wengi wanaogombea ubunge hata urais hawaijui vizuri nchi yao.
kwa heri...
Hizi shule za vipaji maalumu hakuna kitu,zimekuwa zikichangia sana kupunguza performance za watoto,nyingi hazina waalimu na mandhari ya hovyo kabisa ambayo haihamasishi mwanafunzi kusomaInasemekana kuwa serikali inaweza kuwa na mpango wa kuzirudisha shule za vipaji maalumu hasa kwa kuboresha zile zilizopo na kujenga nyingine kila mkoa ili kulinda na kukuza vipaji vya watoto wa kitanzania bila kujali vipato vya familia wanazo toka.
Shule hizo ambazo zitakuwa kwa kila kanda kwa Alevel na kila mkoa kwa Olevel zitachukua watoto walifanya vizuri kutoka shule za Olevel na msingi kama zilivyo kuwa hapo awali shule za ilboru ,mzumbe, Msalato etc.
Mpango huo utagusa kozi zote na combination zote hapa nchini na zitatuhusu hata vijana kutoka nchi za jirani kujiunga kwa ada kubwa au kwa ufadhili za serikali zao.
Mpango huo pia utaenda sambamba na kuandaa vyuo maalumu vya elimu ya juu kwa vijana wanao fanya vizuri ili kujenga uzalendo na kupata vijana wazuri watakao chukua majukumu makubwa hapa nchini.
Pamoja na hilo pia kuna uwezekano wa kufufua chuo cha siasa ambapo hakuna mtu atakaye gombea urais au ubunge bila kupitia chuo hicho ambacho kitajikita kwenye utawala, Katiba, uongozi, Mambo ya nje, Siasa na mambo yanayo ihusu Tanzania kwani kumebainika wengi wanaogombea ubunge hata urais hawaijui vizuri nchi yao.
kwa heri...
Unaposema shule za vipaji maalumu una maanisha nini? je zaidi ya THT kuna shule nyingine ya vipaji maalumu Tanzania?Inasemekana kuwa serikali inaweza kuwa na mpango wa kuzirudisha shule za vipaji maalumu hasa kwa kuboresha zile zilizopo na kujenga nyingine kila mkoa ili kulinda na kukuza vipaji vya watoto wa kitanzania bila kujali vipato vya familia wanazo toka.
Shule hizo ambazo zitakuwa kwa kila kanda kwa Alevel na kila mkoa kwa Olevel zitachukua watoto walifanya vizuri kutoka shule za Olevel na msingi kama zilivyo kuwa hapo awali shule za ilboru ,mzumbe, Msalato etc.
Mpango huo utagusa kozi zote na combination zote hapa nchini na zitatuhusu hata vijana kutoka nchi za jirani kujiunga kwa ada kubwa au kwa ufadhili za serikali zao.
Mpango huo pia utaenda sambamba na kuandaa vyuo maalumu vya elimu ya juu kwa vijana wanao fanya vizuri ili kujenga uzalendo na kupata vijana wazuri watakao chukua majukumu makubwa hapa nchini.
Pamoja na hilo pia kuna uwezekano wa kufufua chuo cha siasa ambapo hakuna mtu atakaye gombea urais au ubunge bila kupitia chuo hicho ambacho kitajikita kwenye utawala, Katiba, uongozi, Mambo ya nje, Siasa na mambo yanayo ihusu Tanzania kwani kumebainika wengi wanaogombea ubunge hata urais hawaijui vizuri nchi yao.
kwa heri...
Una ushahidi kuwa shule za vipaji zimeharibu vijana? au ni wivu tuu kwa kuwa hukipata hiyo nafasi kwa kufeli kwako?Hixz
Hizi shule za vipaji maalumu hakuna kitu,zimekuwa zikichangia sana kupunguza performance za watoto,nyingi hazina waalimu na mandhari ya hovyo kabisa ambayo haihamasishi mwanafunzi kusoma
Hilo haliwezekani..Hapana utakua unakinzana na Kauli ya Mkuu wa chuo cha Dar es Salaam ,Alhaj Prof Dr Jakaya M Kikwete yeye alisema atahakikisha UDSM inakua bora kuliko vyuo vyote ili viongozi wa nchi watafutwe uko wakikosekana UDSM ndio watatafutwa kwenye vyuo vingine na hakua na maana kwamba vyuo vingine visiwe bora
Huyo ndio le Prof Jakaya
Nini hakiwezekaniHilo haliwezekani..
Sasa unaniambia mimi mjumbe niliyofikisha aliyo yasema Jakaya au unamwambia JakayaKwenda kinyume na malengo ya udsm kwani chuo kitakacho anzishwa kitakuwa na malengo tofauti.
Haha haya Mkuunakwambia wewe mjumbe hata kama mjumbe hauwawi.
Umuhimu wake upo na upo wazi. isipo kua kuna watu walizionea wivu hasa wansiasa baada ya kuona watoto wa maskini ndio wamejaa huko na matokeo yakitoka zinaongoza. wakafanya mpango hadi watoto wao wakawa wanenda huko hata kama hawana vipaji . mwisho shule Imekua kawaida sana hata watoto hawana hamasa ya kusoma .Muhimu itolewe tafsiri sahihi ya "VIPAJI MAALUM"! Hatutafanya ya maana kwa kuendeleza matamko yasiyo na maana dhabiti. Je, kuna kinachodhihirika kutokana na hizo /shule za vipaji maalum" zilizopo?