Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
Huu mfumo mpya wa kununua umeme (LUKU) kutoka kwenye makampuni ya simu na miamala kuingia moja kwa moja serikalini bila kupitia MAX MALIPO au CELCOM si jambo jema kwa ustawi wa wafanyabiashara wa ndani na sekta binafsi kwa ujumla, ikumbukwe wateja wakubwa wa kampuni hizi ilikuwa ni serekali kwa miamala kama LUKU, MAJI na MALIPO YA TRA ETC..hii system mpya inakuja kuyauwa haya makampuni, yafikiriwe tafadhari