Serikali kuanzisha Bei Elekezi ya Mifugo

Serikali kuanzisha Bei Elekezi ya Mifugo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,528
Waziri wa Mifugo Mh Masbimba amesema Serikali kupitia wataalamu wake imetayarisha bei Elekezi ya Mifugo na kinachosubiriwa sasa ni kikao cha Wadau ili kuzipitisha.

Mh Masbimba amesema hayo akiwa Wilayani Chato Geita

Source ITV habari
 
Duih wataipima kwa kg?

Au urefu au nini hasa vigezo vya bei?
Itakuwa kwa uzito....Kuna baadhi ya mashamba makubwa ya mifugo huwa wanauza ng'ombe wa kuchinja kwa kilo... Wastani kwa kilo moja ni Kati ya Tzs. 3000-5000.

Uuzaji kwa kilo ni maarufu minada mikubwa duniani. Sisi tumechelewa
 
Itakuwa kwa uzito....Kuna baadhi ya mashamba makubwa ya mifugo huwa wanauza ng'ombe wa kuchinja kwa kilo... Wastani kwa kilo moja ni Kati ya Tzs. 3000-5000.

Uuzaji kwa kilo ni maarufu minada mikubwa duniani. Sisi tumechelewa
Safi sana
Hii ni hatua nzuri mnooo!

Ufugaji utakuwa Biashara yenye faida sasa!

Grade...one

Grade...two.

Grade...three nk.

Mfugaji hapotezi ...
 
Safi sana
Hii ni hatua nzuri mnooo!

Ufugaji utakuwa Biashara yenye faida sasa!

Grade...one

Grade...two.

Grade...three nk.

Mfugaji hapotezi ...
Kabisa. Itachochea pia ufugaji wenye tija... Yan unafuga ukihakikisha Unafikisha market weight as soon as you can. Sio kuishi na mifugo tu kama tulivyozoea
 
sawa,lakini mimi mfugaji niwekewe na mazingira wezeshi.
Ikiwa itakadiliwa kwa kilo ni vyema lakini wakiweka elekezi kwa kuzingatia mambo mengine siyo kabisa!
 
Bei ya mifugo huamuliwa na demand na supply na sio others factors
 
Bei ya mifugo huamuliwa na demand na supply na sio others factors
Mi naweza kusema uhitaji wa mifugo ndo unaanuliwa na demand na supply...so kama demand na supply ipo,pricing strategy inayotumika ni ipi?
 
sawa,lakini mimi mfugaji niwekewe na mazingira wezeshi.
Ikiwa itakadiliwa kwa kilo ni vyema lakini wakiweka elekezi kwa kuzingatia mambo mengine siyo kabisa!
Huwezi amini kupima kwa kilo kuna toa favour kubwa kwa mfugaji.. Njia iliyopo sasa hivi sokoni yakukadilia kwa macho tena wakati mwingine kupitia madalali wasio rasmi mara nyingi inamnyonga mfugaji.
 
Mi naweza kusema uhitaji wa mifugo ndo unaamuliwa na demand na supply...so kama demand na supply ipo,pricing strategy inayotumika ni ipi?..upimaji wa kilo ni pricing strategy na haugusi supply wala demand
 
Madalali wa mazao na mifugo ni tatizo kwa wafugaji na wakulima.
 
Back
Top Bottom