Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 823
- 1,613
Wakuu mambo vipi,shega eeh poleni na jua.
Binafsi kwa mawazo yangu mafupi naiomba Serikali kama ilivyofungia sites za porn basi na hii TikTok ifungiwe kwa sababu kule kuna dada zetu watoto wakitanganyika wamevurugwa hawana mishipa ya aibu tena wanapandisha video zao wakiwa wanatikisa matako wengine wamevaa bikini tu yaani unayaona matako na papuchi imejichora kabisa na wengine ni vinguo vyepesi vya mitego yaan hatari kisa tu kugombania followers na like nyingi, vijana wamegeuka machizi daaah wengine wanafanya zile prank hasa watoto wakiume kisa apate followers na like nyingi.
Yaani unakuta kijana anaenda mfano katikati ya Barabara au sehemu yenye watu wengi then anafanya kituko daah hii nchi aisee au anamvamia mtu mfano barabarani tu hamjui wala nini alafu anaanza kumtania na kumzingua akiona huyo anaemtania kapanic anamwambia eti nlikua na record.
Wtfk !
Na unajua kwanini watu hilalamika bando, sababu ni kua TikTokinakula sana bando. Serikali hili nalo mlitazame taifa linaenda kwenye hatari.
Binafsi kwa mawazo yangu mafupi naiomba Serikali kama ilivyofungia sites za porn basi na hii TikTok ifungiwe kwa sababu kule kuna dada zetu watoto wakitanganyika wamevurugwa hawana mishipa ya aibu tena wanapandisha video zao wakiwa wanatikisa matako wengine wamevaa bikini tu yaani unayaona matako na papuchi imejichora kabisa na wengine ni vinguo vyepesi vya mitego yaan hatari kisa tu kugombania followers na like nyingi, vijana wamegeuka machizi daaah wengine wanafanya zile prank hasa watoto wakiume kisa apate followers na like nyingi.
Yaani unakuta kijana anaenda mfano katikati ya Barabara au sehemu yenye watu wengi then anafanya kituko daah hii nchi aisee au anamvamia mtu mfano barabarani tu hamjui wala nini alafu anaanza kumtania na kumzingua akiona huyo anaemtania kapanic anamwambia eti nlikua na record.
Wtfk !
Na unajua kwanini watu hilalamika bando, sababu ni kua TikTokinakula sana bando. Serikali hili nalo mlitazame taifa linaenda kwenye hatari.