MUNDALI WA ILEJE
Member
- Sep 27, 2012
- 32
- 9
Serikari inamnyonya mwananchi kwa asilimia mia moja bila kujari ugumu wa maisha uliopo, we piga hesabu mtaji wangu ni Tsh1500000 kodi yangu kwa mwaka ni 120000, fire nawalipa Tsh42000 kwa mwaka, bango nalipa Tsh72000 kwa mwaka, mchango wa shule nalipa Tsh20000 kwa mwaka, Ulinzi nalipa Tsh20000, pango la chumba nalipa Tsh600000 kwa mwaka, mfanyakazi wangu namlipa Tsh 1200000 kwa mwaka, bado sijala, sijalipa ushuru wa taka, umeme, maji, na familia.Je nani ataendelea mbele kwa ushuru huu hata uwe na milion kumi na wakati huo wawekezazaji wamekuja na kufanya biashara za kimachinga? je utamuuzia nani wewe unae jumua kwa mtu mwenye mtaji wa milion mia na anauza leja leja na jummla.?
Kweli safari yangu nitafika kwA stAili hii au nishike bunduki nikachukuwe changu kwa wadosi?
Kweli safari yangu nitafika kwA stAili hii au nishike bunduki nikachukuwe changu kwa wadosi?