Duh pole sana maisha lazima yaendelee ila kama ni msaliti hapo hekima zako na maamuzi yako ndio yataamua.. maana nyie ni watu wazima teyari.Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.
a nawatupia Serikali kwa kukatisha ndoa yangu na pengine itakatisha maisha ya mke wangu aliyeondoka kwa kuchanganyikiwa. Hili la Dodoma linaonekana kama masihara lakini ni janga kubwa sana. Tumejichimbia kaburi kimzaha.
Pole sana mkuu.Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.
Kuna wazee mnazeeka halafu life skills ndogo. Kwa namna wewe ulivyopanic huyu mama hawezi kuwa salama kimawazo. Hivi mwanaume umewezaje kumwacha mkeo kwenye matatizo afunge safari arudi Dar?Sijajua naweza kumuacha au yeye kuondoka mwenyewe (isije ikawa ndo mwenyewe unataka kujua status)
Kivipi? Unajua zaidi ya 90% ya maambukizi ni njia ya heterosexual? Sasa unatenganishaje umalaya na uzinzi kwenye ukimwi?Sio kila alie positive ni malaya brother, kumbuka sote ni binadamu na tunaishi na bahati mbaya, kwa hiyo siku na saa yoyote unaweza ukakutana nayo.
Kushiriki tendo la ndoa?....Kuna wazee mnazeeka halafu life skills ndogo. Kwa namna wewe ulivyopanic huyu mama hawezi kuwa salama kimawazo. Hivi mwanaume umewezaje kumwacha mkeo kwenye matatizo afunge safari arudi Dar?
Usichojua ni kwamba kwa wakati huu huyo yupo kwenye Denial, hakubaliani na kilichompata, anaomba angalau Mungu angetoa nafasi ya upendeleo kwake atubu. Sasa kumpa pressure ktk wakati huu umemfanya ajihisi mkosaji mkubwa kuliko wote Duniani.
Nakushauri japo umeamua ndoa itavunjika lakini isiwe mapema hivyo mwache mpaka afikie hatua ya kujikubali na Kisha mtaamua ulitakalo. Kingine nenda hospital mfundishwe njia sahihi ya kushiriki tendo la ndoa pasipo kuambukizwa ili angalau msubiriane mpaka mmoja atangulie ndio uwe mwisho mwenu.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Nchi za wengine, ndoa ni kitu Cha muhimu sana kuliko hata sera na kazi. Ndo inahusu hasa jamii hiyo hiyo unayoitungia sera. Wakati wa Mwalimu walijali sana ndoa. Je hawa watoto wanaolelewa bila wazazi wao umewawekea sera gani. Naona kama hatutazingatia ndoa sioni mbele iliyonjemaYaani serikali isitekeleze sera zake kwa kuhofia kuwa ndoa zitavunjika?
Kwa hai hiyo unadhani mke wa mleta mada aliongezewa damu ya mtu mwenye HIV,au alijikata na kitu chenye ncha kali ndiyo akapata UKIMWI?Sio kila alie positive ni malaya brother, kumbuka sote ni binadamu na tunaishi na bahati mbaya, kwa hiyo siku na saa yoyote unaweza ukakutana nayo.
Apa ajibu intaviuuNakiri suala lako linaumiza sana, pole sana.
Lakini Mkuu, kwanini kabla ya kuilaumu serikali usiangalie kwanza nyie wenyewe mliteleza wapi kama wanandoa?
Njia za maambukizi zipo nyingi lakini kwakuwa hii ni ndoa tuongelee uzinifu/uchepukaji.
Kwanini usimpe lawama mkeo kwa kushindwa kuwa kuwa mwaminifu mpaka kufikia kulikwaa gonjwa?
Mlijiwekea utaratibu gani wa kukutana kutokana na umbali huo ulioletwa na mabadiliko hayo serikalini?
Kabla ya kuitupia lawama serikali angalieni nyie mmeteleza wapi kwanza kama wanandoa.
Ila poleni na Mungu awape hekima ya kukabiliana na hili.
Umeongea kikubwa sana nimewahi kuona documentary Moja nadhani uingereza mzungu mmoja alikuwa na maambukizi ya HIV Kisha mwandishi akamuuliza unajisikiajeHilo ni jambo la kawaida, ukimwi siku hizi sio ugonjwa mzee wangu, ogopa kansa, pressure, nk! Wewe unaogopa jamii na wattoto wenu, mtaenda kuwatangazia?? Kuna watu wanashida nyingi kuliko hata zako wamekaa nazo kimya na maisha yanaenda, hivyo tuliza akili na chukulia ukimwi na ugonjwa mwingine na mtakula bata mpaka miaka 100 mzee wangu!! Ndo maana ya kiapo cha ndoa kwenye shida na raha! Mtie moyo mkeo , wewe kwa sasa ndo faraja yake! Sio wewe tena mwanaume kuanza kupaparika, simama kiume mzee!! Ukihitaji msaada zaidi njoo pm
hahaha, ashiriki tendo la ndoa na mke msaliti mwenye umeme, aliye kitembeza nje kavu kavu mpaka kadaka Umemekushiriki tendo la ndoa pasipo kuambukizwa
Kwa hiyo kumzalisha mkeo mara kwa mara kunamfanya ASIGONGWE nje??tena hao wanaozaa mara kwa mara ndio wanakuwaga na NYEGE sanaSi afadhali wewe upo hapo dodoma, mimi nipo Songea kikazi na mke wangu yupo mwanza na ndoa yetu ipo safi kabisa.
Mbinu ninayotumia namzalisha mkeo mfululizo haipiti miaka 4 bila kushika mimba simuachi apumzike
Pole sana,lakini kama wote ni watumishi si ungehama nae mkuu!!!Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.
Baadhi ya watoto wetu wako kwenye ndoa na wengine wako vyuoni nasi. Mke wangu bado ana miaka 13 kazini kabla ya kustaafu. Majuzi amenitembelea hapa Dodoma, alifika akiwa anajisikia vibaya na tukafanya utaratibu wa kwenda hospital. Tulikutana na Dr mstaarabu na akatushauri tupime Ukimwi kwa pamoja.
Majibu yalitoka na mke wangu akiwa Chanya + tulipima tena hospital nyingine na bado ilibaki vilevile. Sasa nabaki najiuliza, jamii itatuelewaje? Watoto watatuelewaje? Wakwe watatuelewaje? Nimekata tamaa na nimebaki bila majibu.
Jamani wenzangu mkae mkijua kuwa hili limetokea kwangu, ukweli wenyewe wengi mko kwenye maisha hayo. Serikali imefanya makosa makubwa sana kutenganisha ndoa za watu kwa makusudi. Watoto wengi walioko mitaani hawana maadili kwa kukosa malezi ya baba na mama.
Hapa tunajenga taifa au tunabomoa. Nimebaki njia panda. Nimfukuze? Nimuue? Au nifanyeje. Huu ni utumishi Serikalini au ni utumwa serikalini. Nimeshindwa kula hata kazini sijaenda. Mke wangu karudi Dar nae sijui anaenda kujiua!
Mbali na lawama kwa mke wangu bado zigo la lawama nawatupia Serikali kwa kukatisha ndoa yangu na pengine itakatisha maisha ya mke wangu aliyeondoka kwa kuchanganyikiwa. Hili la Dodoma linaonekana kama masihara lakini ni janga kubwa sana. Tumejichimbia kaburi kimzaha.
Sera ya Serikali kutojali ustawi wa familia ni janga kubwa sana.Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.
Baadhi ya watoto wetu wako kwenye ndoa na wengine wako vyuoni nasi. Mke wangu bado ana miaka 13 kazini kabla ya kustaafu. Majuzi amenitembelea hapa Dodoma, alifika akiwa anajisikia vibaya na tukafanya utaratibu wa kwenda hospital. Tulikutana na Dr mstaarabu na akatushauri tupime Ukimwi kwa pamoja.
Majibu yalitoka na mke wangu akiwa Chanya + tulipima tena hospital nyingine na bado ilibaki vilevile. Sasa nabaki najiuliza, jamii itatuelewaje? Watoto watatuelewaje? Wakwe watatuelewaje? Nimekata tamaa na nimebaki bila majibu.
Jamani wenzangu mkae mkijua kuwa hili limetokea kwangu, ukweli wenyewe wengi mko kwenye maisha hayo. Serikali imefanya makosa makubwa sana kutenganisha ndoa za watu kwa makusudi. Watoto wengi walioko mitaani hawana maadili kwa kukosa malezi ya baba na mama.
Hapa tunajenga taifa au tunabomoa. Nimebaki njia panda. Nimfukuze? Nimuue? Au nifanyeje. Huu ni utumishi Serikalini au ni utumwa serikalini. Nimeshindwa kula hata kazini sijaenda. Mke wangu karudi Dar nae sijui anaenda kujiua!
Mbali na lawama kwa mke wangu bado zigo la lawama nawatupia Serikali kwa kukatisha ndoa yangu na pengine itakatisha maisha ya mke wangu aliyeondoka kwa kuchanganyikiwa. Hili la Dodoma linaonekana kama masihara lakini ni janga kubwa sana. Tumejichimbia kaburi kimzaha.