Serikali inakosea sana kuwatenganisha Kikazi Wanandoa

Duh pole sana maisha lazima yaendelee ila kama ni msaliti hapo hekima zako na maamuzi yako ndio yataamua.. maana nyie ni watu wazima teyari.
 
Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.
Pole sana mkuu.

Ila ulioa mke mwenye tofauti kubwa sana ya kiumri.

Yeye bado damu ya moto kuliko wewe hata kama ng'ombe hazeeki maini.

Hapo Gavo utailamu bure tu(tungepata takwimu za ndoa zilizotenganishwa na Gavo na zikaingiwa na msala kama wako, ndipo tungeweza kuhitimisha) mlaumu mkeo kwa kupiga mbizi ovyo ovyo tena bila kuwa na maboya.
 
Sijajua naweza kumuacha au yeye kuondoka mwenyewe (isije ikawa ndo mwenyewe unataka kujua status)
Kuna wazee mnazeeka halafu life skills ndogo. Kwa namna wewe ulivyopanic huyu mama hawezi kuwa salama kimawazo. Hivi mwanaume umewezaje kumwacha mkeo kwenye matatizo afunge safari arudi Dar?

Usichojua ni kwamba kwa wakati huu huyo yupo kwenye Denial, hakubaliani na kilichompata, anaomba angalau Mungu angetoa nafasi ya upendeleo kwake atubu. Sasa kumpa pressure ktk wakati huu umemfanya ajihisi mkosaji mkubwa kuliko wote Duniani.

Nakushauri japo umeamua ndoa itavunjika lakini isiwe mapema hivyo mwache mpaka afikie hatua ya kujikubali na Kisha mtaamua ulitakalo. Kingine nenda hospital mfundishwe njia sahihi ya kushiriki tendo la ndoa pasipo kuambukizwa ili angalau msubiriane mpaka mmoja atangulie ndio uwe mwisho mwenu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kushiriki tendo la ndoa?....
 
Yaani serikali isitekeleze sera zake kwa kuhofia kuwa ndoa zitavunjika?
Nchi za wengine, ndoa ni kitu Cha muhimu sana kuliko hata sera na kazi. Ndo inahusu hasa jamii hiyo hiyo unayoitungia sera. Wakati wa Mwalimu walijali sana ndoa. Je hawa watoto wanaolelewa bila wazazi wao umewawekea sera gani. Naona kama hatutazingatia ndoa sioni mbele iliyonjema
 
Kachepuka labda angekuwa nesi kaupata kwa bahat mbaya yani apo tu dom anashindwa kuja kukupa mbususu anaenda kuwap watu wa ovyo tena bila kujijali, uyo mzee we mpe pole wala usimwambie kama umemwacha ila mkatae kisailensa mpaka ajiongeze mwenyewe

Kiatu chako kikubwa kivae mwenyewe ila mkeo kakukosea sana usilaumu sirikali dom to dar si mbali
 
Aje
Apa ajibu intaviuu
 
Umeongea kikubwa sana nimewahi kuona documentary Moja nadhani uingereza mzungu mmoja alikuwa na maambukizi ya HIV Kisha mwandishi akamuuliza unajisikiaje
Akasema angalau sio Kansa maana hiyo ndio inatisha
 
Pole sana,lakini kama wote ni watumishi si ungehama nae mkuu!!!
 
Sera ya Serikali kutojali ustawi wa familia ni janga kubwa sana.

Wafanyakazi ni kama hawastahili kuishi kwenye ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…