Serikali ina option tatu tu dhidi ya mbowe.

Serikali ina option tatu tu dhidi ya mbowe.

Joined
Aug 12, 2021
Posts
64
Reaction score
117
1😀PP kumfutia mbowe mashitaka, nalo litamuongezea popularity kubwa na confidence ya kudai katiba.

2.Mahakama iamue kesi hii, na mbowe akishinda basi ni aibu kwa serikali.

3.Mbowe wamfunge jela miaka 30, na kwa nature ya kesi hii ya ugaidi ni miaka 30 au kunyongwa.


Serikali ya samia imejitia kitanzi yenyewe.
 
Kwa kupenda kwao madaraka, na kutotaka usumbufu wakati wanatawala unadhani kwanini hawatachagua namba 3?
 
Swali zuri Sana kwa ccm wao wanamchagulia mbowe hukumu gani? Mbili za juu ni ngumu Ila zitawapa nafuu Ila wakimfunga au kumnyonga kitu ambacho hakiwezekani kitaibua fujo ambazo hata jw hawataziweza.
 
Wataipiga danadana hii kesi ili kumuongezea Mbowe muda wa kukaa gerezani
 
1😀PP kumfutia mbowe mashitaka, nalo litamuongezea popularity kubwa na confidence ya kudai katiba.

2.Mahakama iamue kesi hii, na mbowe akishinda basi ni aibu kwa serikali.

3.Mbowe wamfunge jela miaka 30, na kwa nature ya kesi hii ya ugaidi ni miaka 30 au kunyongwa.


Serikali ya samia imejitia kitanzi yenyewe.
Kama umeelewa vizuri wanashtakiwa kwa 'kula njama' kufanya kitendo (vitendo) vya ugaidi - yaani ni kama (kama nimeelewa vizuri mashtaka yao) waliwahi kabla ya kutekeleza ugaidi wao. Hivyo, kama wakithibitika wametanda hilo kosa (au makosa ya ugaidi) adhabu yake siyo kunyongwa.
 
Kwa kupenda kwao madaraka, na kutotaka usumbufu wakati wanatawala unadhani kwanini hawatachagua namba 3?
Na hasa ukiangalia Jaji alie pewa kesi. Huyu ni jaji mikakati. Cheo kahongwa hivyo maamuzi lazima yampendeze pilato.
Ila Mungu huwa na maamuzi ya haki. Yuko wapi yule DCI alie sema angekuwa shahidi namba moja?
 
Swali zuri Sana kwa ccm wao wanamchagulia mbowe hukumu gani? Mbili za juu ni ngumu Ila zitawapa nafuu Ila wakimfunga au kumnyonga kitu ambacho hakiwezekani kitaibua fujo ambazo hata jw hawataziweza.
Labda asipatikane na hatia.
Habari za fujo sahau,Yale maandamano ya UKUTA yaliishia wapi?

Vipi maandamano yasiyoisha yaliyoitishwa na Lissu baada ya uchaguzi yalifanikiwa?

Wakati ule Tena alikaa lupango miezi kadhaa fujo zilitokea?
Labda mtoto wa Mbowe,na mke wake watangulie.
 
Back
Top Bottom