Serikali imtizame mtu aliyepewa Jukumu la Kuchapisha pesa. Afukuzwe kazi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,851
24,635
Huyu mtu au Kampuni inayochapisha pesa kwa kweli ameshindwa kazi. Inaonekana hakuwa na mtaji wa kutosha au anaficha pesa.

Leo imekuwa ngumu sana kuziona noti za 10,000 na 5000 pesa haipatikani kama zaman ambapo ilikuwa nje nje tu hasa kwa wauzaji wa unga. Siku hizi watu wameacha kabisa kuuza unga huku mtaani.ukitaka unatakiwa ukasage mahindi yako mwenyewe.

Mtaani pesa haipatikani na heshima kwa kweli imerud kwa wale ambao zaman walikuwa wanatumia pesa zao hovyo hovyo na kusababisha kibri.

Inaaana serikali haijaona kuwa pesa zimekuwa adimu?na mchapishaki eitha ameficha au ameacha kuchapisha?
 
Tulia tunadhibiti mfumuko wa bei, mambo yatakaa sawasawa, hii ndiyo serikali ya hapa kazi tu, walikuwa wanaishi kama malaika, wataishi kama shetani, na waliokuwa wanaishi kama shetani wataishi kama malaika.
 
Money Supply haihusiani na mchapisha pesa.
Fiscal and monetary policies ndo sababu ya kukosekana kwa fedha.
 
Mleta mada pesa kuadimika sio tatizo LA mchapishaji, ni issues za fiscal and monetary manoeuvres
 
Tulia tunadhibiti mfumuko wa bei, mambo yatakaa sawasawa, hii ndiyo serikali ya hapa kazi tu, walikuwa wanaishi kama malaika, wataishi kama shetani, na waliokuwa wanaishi kama shetani wataishi kama malaika.
Mfumuko wa bei ndo unazid we unasema unaudhibiti duuuu! Serikali ya kiduwanzi
 
Back
Top Bottom