Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,174
Hayo ya ukawa/chadema yanahusiana vipi na mada ya mshana jrUkawa hawana tatizo na serikali kuhamia Dodoma kilio cha ukawa ni udikteta juu ya upinzani kuzuia mikutano na unyanyasaji bungeni.
Makonda atanunua kiwanja ajenge nyumba Guest House , mbona wakuu wa mikoa yote Tanzania wanaishi Dsm ? Kila Mkuu wa mkoa ana nyumba Dsm wakimaliza kazi hurejea Dsm hata waliwa na nafasi hujichimbia Dsm , sasa wajenge Dodoma ili wasambaze maendeleo nchini kote.usishangae kumsikia Makonda naye akitoa tamko la kuhamia Dodoma!
Mkuu watahamia slow slow kadri miundombinu inavyoimaarishwa , lakini serikali kuhamia Dodoma italipa unafuu mkubwa jiji la Dsm na maendeleo yatakuja Kwa kasi maana foleni na misafara itakuwa imepungua sana hivyo kuharakisha utoaji huduma.Miundombinu Dodoma haijawa rafiki kwa lundo la wafanyakazi watakao hamia huko. Wewe angalia tu kipindi cha bunge Dodoma huwa haitoshi sembuse tuhamishe Ikulu msururu wa vigogo ma mawizara na wafanyakazi wa kada mbalimbali. Mhhhh ngoja tuone hiii movie itakapo ishia.
Umesoma kwa makini nilichoandika lakini? Au umekurupuka tuu?Hivi utabiri wa kila siku wa UKAWA ni kufeli kwa serikali, ni kweli haitafanikiwa!?
Ni bora mkawa neutralistics kuliko kutabiri upumbafu na kujidai eti... Time will tell..
Ombeeni taifa lenu nyumbu nyie
Ni yupi uliyemsikia akipinga serikali kuhamia Dodoma??..yani MTU atekeleze ahadi za CHADEMA alafu wanachadema wampinge??Kwa hiyo nyie chadema hata hili la kuhamia Dodoma mnalipinga ??
Nakumbuka Mbowe na Lowasa wakati wakiomba kura Dodoma waliahidi serikali ya UKAWA itahamia Dodoma haraka Mara tu baada ya kuapishwa.
Je mlikuwa mnawadanganya watanzania??
Kwa unafiki wenu huu mnafaa kweli kuongoza hata mtaa??
Subiri utasikia mwingine anasema atahamia kesho...Huko tuendako ni kubaya....
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians)
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Tanzania,na watanzania ni wapevu kimakwelikweli...! Serikali iliyochaguliwa na watanzania, inaakisi upevu wao...sasa tofauti ni kujiliwaza kwa "wafuasi", wa walioshindwa 25/12/2015!Huko tuendako ni kubaya....
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians)
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Sawa, ila hayo madai yao sio sehemu ya mjadala huu.Huwa wanadai na kuisingizia ukawa kuwa hawataki serikali ihamie Dodoma .
Ni kweli Mkuu chadema hawana kipingamizi juu ya kuhamia Dodoma kwani hata kule South Africa makao makuu ya ANC yapo Johannesburg licha ya serikali kuishi PretoriaNi yupi uliyemsikia akipinga serikali kuhamia Dodoma??..yani MTU atekeleze ahadi za CHADEMA alafu wanachadema wampinge??
Hebu tumia akili kidogo aisee! Hivi unaelewa maana halisi ya HARAKA IWEZEKANAVYO?Kwa hiyo nyie chadema hata hili la kuhamia Dodoma mnalipinga ??
Nakumbuka Mbowe na Lowasa wakati wakiomba kura Dodoma waliahidi serikali ya UKAWA itahamia Dodoma haraka Mara tu baada ya kuapishwa.
Je mlikuwa mnawadanganya watanzania??
Kwa unafiki wenu huu mnafaa kweli kuongoza hata mtaa??
Wanakurupuka.ndio tatizo la kufanya kazi kwa woga.
Huko tuendako ni kubaya....
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians)
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Umetumia kiungo gani kufikiri? MBOWE ni Kiongozu wa CHADEMA akiongea anaongea kwa niaba ya chama chake huyu mleta amekwambia anaongea kwa niaba ya Chadema? Mijitu mingineKwa hiyo nyie chadema hata hili la kuhamia Dodoma mnalipinga ??
Nakumbuka Mbowe na Lowasa wakati wakiomba kura Dodoma waliahidi serikali ya UKAWA itahamia Dodoma haraka Mara tu baada ya kuapishwa.
Je mlikuwa mnawadanganya watanzania??
Kwa unafiki wenu huu mnafaa kweli kuongoza hata mtaa??
Hii awamu ya 5 ina drama nyingi bala....maamuzi ya kukurupuka....sipati picha mambo yangekuwaje kama zile chokochoko za yule manzi wa malawi zingetokea leo.Huko tuendako ni kubaya....
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians)
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo