Serikali iliyojaa rushwa yaaibisha tena

Hawa Uingereza si marafiki wa kweli. Yaani taifa kubwa linatoa misaada ya chandarua? Bora China, rafiki wa kweli

acheni kujitoa akili. visima vya gesi muwape wachina halafu misaada mkachukue UK? shame upon you gambaz!
 

CCM Msalani hivi hii Serekali inaongozwa na Chama Gani vile?
 

Kupambana na malaria kwa kugawa vyandarua peke yake ni aibu kwa nchi inayojiheshimu. Nchi zote zilizofanikiwa kuondoa malaria walipambana na kuondoa mazalio huku wakitoa tiba kwa wananchi hadi wakafikia kuwa na mbu wasio na wadudu wa malaria.
Vyandarua ni mradi wa utapeli maana chanzo cha malaria kinakuwa kipo pale pale lakini watu wanatengeza hela kila wakati kwa kuuza dawa na vyandarua.
 
Kikwete alienda Canada miezi
michache iliyopita kwenye mkutano wa mama na mtoto. Sijui alidanganya
nini huko mpaka ika raise red flag.

Wamezoeya kutudanganya sasa wameenda kuwadanganya na mabwana zao huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…