Lakini hata kabla ya zoezi hilo BD nyingi tena zenye exchange rate nzuri kule mitaa ya Samora na Kisutu, Jamhuri nk zilifungwa Jumapili isipokuwa chache kule Kariakoo, lakini baadhi ya Banks kama CRDB na TPB wana matawi yapo wazi Jumapili katika miji mikubwa, sijui mkuu unaandika kutokea mji gani.