Serikal haina pesa

Serikal haina pesa

kapingili

Senior Member
Joined
Jul 4, 2012
Posts
155
Reaction score
192
Katika kipindi cha Jakaya Kikwete tulichezewa akili zetu kwa kuamini kuwa Serikali haina pesa kumbe kuna mzigo mkubwa zaidi.

Kwa jinsi Serikali ya Magufuli inavyowajibika kukusanya kodi na kuzuia matumizi mabaya ya Serikali ili kuifanya Serikal iwe na pesa, inajidhihirisha wazi kuwa utawala uliopita kiukweli haukuwa mzuri.
 
Mm nadhani kumjadili jk, ni kumpa Sifa za kijinga cha msingi hapa asizungumziwe ili umaarufu wake upotee ktk magazeti na midomoni mwawatanzania, tukimjadili atajiona bado anakubalika, tujadili mapya aone yy c kitu chochote ktk serekali yetu,
 
Ukawa wana uchungu sana na kikwete,wanamuona nuksi kwa kumkosesha ugali lowassa.mwacheni mzee wa watu apumzike,kila uchao mara msoga mara mkwere.kwa katiba hii hatuwezi kumfanya chochote,tutaishia kutoa povu tu
 
Katika kipindi cha Mh Jk tulichezewa akili zetu kwa kuamini kua serikal haina pesa kumbe kuna mzigo mkubwa zaidi

Kwa jins serikal ya JPM inavyo wajibika kukusanya kodi na kuzuia matumizi mabaya ya serikali ili kuifanya serikal iwe na pesa mob inajidhihirisha wazi kua utawala ulio pita kiukweli haukua mzur

Endeleeni na porojo, jana serikali imekula kwako nini?
 
Mm nadhani kumjadili jk, ni kumpa Sifa za kijinga cha msingi hapa asizungumziwe ili umaarufu wake upotee ktk magazeti na midomoni mwawatanzania, tukimjadili atajiona bado anakubalika, tujadili mapya aone yy c kitu chochote ktk serekali yetu,

Kikwete kalihujumu taifa kwa kiwango cha kutisha kabisa, hatuwezi kukaa kimya eti sababu kastaafu, ni jukumu letu kupiga kelele na kuhahakikisha kuwa sheria zinabadilishwa ili na wao wapambane na mkono wa sheria.
 
Kikwete kalihujumu taifa kwa kiwango cha kutisha kabisa, hatuwezi kukaa kimya eti sababu kastaafu, ni jukumu letu kupiga kelele na kuhahakikisha kuwa sheria zinabadilishwa ili na wao wapambane na mkono wa sheria.
Utasubiri sana na haiji kutokea hicho ukiombacho! hizo hasira zenu kwa kushindwa kapi lenu la monduli zitawafikisha pabaya! JK amefanya mengi mazuri kwa nchi hii, ugumu wako wa maisha unatokana na uvivu wako mwenyewe, usilaumu mtu
 
Huyu dhaifu alikuwa shida sana. Simpendi huyu....basi tu.
 
Kumjadili JK ni sawa au si sawa inategemea unaongelea nini sasa kwa mfano leo hii tunaona jinsi ufisadi na uozo unaoibuliwa na JPM ndani ya Bandari kwanini tusimtaje wakati uozo na ufisadi pamoja na makontena kupotea ni ktk wakati wake asitajwe yeye nani (hata kama katiba haimbani )kwani munatununulia vocha au tunanunua kwa hela zetu hebu tuacheni tumtaje ili iwe kama fundisho la kutokufanya makosa kwa jembe letu la aliselema selema selema.
 
Ukawa wana uchungu sana na kikwete,wanamuona nuksi kwa kumkosesha ugali lowassa.mwacheni mzee wa watu apumzike,kila uchao mara msoga mara mkwere.kwa katiba hii hatuwezi kumfanya chochote,tutaishia kutoa povu tu

Siku hizi anakwenda Msoga kumtembelea mama kuliko kwenda ma juu!!!?
 
Back
Top Bottom