UTOPIANISM
Member
- Aug 7, 2013
- 63
- 23
Nawasilisha mada hii kwa kwel kwa uchungu mzito jaman tunafanya kaz katika mazingira magumu na boss hataki kutupa mikataba ya kazi watu wanafanya kaz inapita miez hadi minne boss hakupi mshahara wala allowance yeyote ukimuuliza kuhusu mshahara unapewa wa mwez mmoja halafu mingine anapotezea Massa mengi ya kufanya kaz hakuna over time sheria na mahusiano kazn hakna watu wanafanya kaz siku saba za wiki hakuna mapumziko malalamiko anapewa na hazingatii jamani tunaomba mtusaidie ahsanten na naomba kuwasilisha.