Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Huyu ametoboa tena..kwa wale mliobahatika kuangalia clip ya Youtube takriban majuma 2 yaliyopita , huyu kipa alianza kushangilia kuokoa penati mapema, bila kujua mpira unajaa kimiani taratibu wakati yeye yuko bize akishangilia.
Kumbukumbu ile wakati haijesha vichwani mwetu, clip nyingine imekuja. Huyu bwana baada ya kufungwa kizembe akaamua kuzira na kutoka uwanjani.
http://www.youtube.com/watch?v=Yidb1MiKbyI&feature=player_embedded
Kumbukumbu ile wakati haijesha vichwani mwetu, clip nyingine imekuja. Huyu bwana baada ya kufungwa kizembe akaamua kuzira na kutoka uwanjani.
http://www.youtube.com/watch?v=Yidb1MiKbyI&feature=player_embedded