balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,507
- 15,125
Mwaka huu kazi ipo, je tutatoboa? Sembe yaani unga Sasa bei yake 1500.
Mama anaupiga mwingi hadi unachana nyavu.
Mama anaupiga mwingi hadi unachana nyavu.
Unga wa ugali mkuuUnamaanisha unga huu huu ngada au?
Endelea kubaki mjini,sisi wakulima tunaneemekaMwaka huu kazi ipo, je tutatoboa? Sembe yaani unga Sasa bei yake 1500.
Mama anaupiga mwingi hadi unachana nyavu.
Uyu anaharisha Ninilazma vipande bei tumezichoka bei za zamani

Wewe bado tu upo TZ mkuu? Njoo Burundi, Bujumbura kila siku ni party tu.
Wewe bado tu upo TZ mkuu? Njoo Burundi, Bujumbura kila siku ni party tu.
Tambi from 1400 to 2000 sasa hivi
Vipande Ili mkulima afaidi na Serikali imesema haina mpango wa kufunga mipaka 👇Mwaka huu kazi ipo, je tutatoboa? Sembe yaani unga Sasa bei yake 1500.
Mama anaupiga mwingi hadi unachana nyavu.
VITAPANDA VYOTE HATA DADA POAMwaka huu kazi ipo, je tutatoboa? Sembe yaani unga Sasa bei yake 1500.
Mama anaupiga mwingi hadi unachana nyavu.
tafuta hela acha kulalamikaUyu anaharisha Nini![]()
Nasikia huko primus buku jeroWewe bado tu upo TZ mkuu? Njoo Burundi, Bujumbura kila siku ni party tu.