jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,155
- 29,677
Hii najua itawatibua wengi lakini ukweli lazima usemwe.
Nchini mwetu hii sekta ya fedha au uchumi ni sekta iliyoonekana kuwa kimbilio la wasio na uwezo mkubwa kielimu kama inavyotokea sasa kwenye sekta ya elimu.
Sekta ya fedha ilichukua form four au form six failures ambao wengi walienda kujiendeleza IFM,CBE na IAA.
Nikijaribu kufanya sample ya waliokuwa watupu darasani wengi wao waliibukia kwenye uhasibu na ugavi...kama unabisha ulizia wale uliosoma nao na waliokuwa vilaza au wavivu au watoro watakwambia wako wapi kama sio TRA,TPA,BOT,NMB,ACB n.k.
Tumelazimisha na Tunaendelea kulazimishia wasio kuwa na uwezo kuingia kwenye fani zinazohitaji weledi na matokeo yake ni mkwamo tu....hata aje rais malaika bado kuna kazi ngumu sana ya kurekebisha sekta kama hii ya fedha....yaani kila ukisample utajikuta unapata garasa tu...!
Ni sekta hii hii ya fedha/uchumi inayoshuhudia watu wakijipatia mavyeti meengi mara sijui CPA mara NBAA n.k yaani in three or four years mtu ameshakuwa na vyeti vitano na zaidi wakati form four au form six alitoka kama kilaza!!
Leo nimeona nioongelee sekta hii ya uchumi na fedha kwanza kwani ni muhimu kwa maendeleo.
IT IS A BLUE MONDAY!!
Nchini mwetu hii sekta ya fedha au uchumi ni sekta iliyoonekana kuwa kimbilio la wasio na uwezo mkubwa kielimu kama inavyotokea sasa kwenye sekta ya elimu.
Sekta ya fedha ilichukua form four au form six failures ambao wengi walienda kujiendeleza IFM,CBE na IAA.
Nikijaribu kufanya sample ya waliokuwa watupu darasani wengi wao waliibukia kwenye uhasibu na ugavi...kama unabisha ulizia wale uliosoma nao na waliokuwa vilaza au wavivu au watoro watakwambia wako wapi kama sio TRA,TPA,BOT,NMB,ACB n.k.
Tumelazimisha na Tunaendelea kulazimishia wasio kuwa na uwezo kuingia kwenye fani zinazohitaji weledi na matokeo yake ni mkwamo tu....hata aje rais malaika bado kuna kazi ngumu sana ya kurekebisha sekta kama hii ya fedha....yaani kila ukisample utajikuta unapata garasa tu...!
Ni sekta hii hii ya fedha/uchumi inayoshuhudia watu wakijipatia mavyeti meengi mara sijui CPA mara NBAA n.k yaani in three or four years mtu ameshakuwa na vyeti vitano na zaidi wakati form four au form six alitoka kama kilaza!!
Leo nimeona nioongelee sekta hii ya uchumi na fedha kwanza kwani ni muhimu kwa maendeleo.
IT IS A BLUE MONDAY!!