Sekriterieti ya ajira mbona hamueleweki

Sekriterieti ya ajira mbona hamueleweki

nyilaegenge

Senior Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
198
Reaction score
105
Wadau nauliza kwa aliye na taarifa juu ya majina ya kuomba ajira za kilimo zilizotolewa feb.17 na deadline kuwa march 3 mwaka huu,yatatoka lini?kwa alye taarifa tafadhal,tumechoka kusubiri
 
Chek kwny website yao wametupia majina ya walioitwa kazin sehemu mbalimbal kwa agr,livestock n.k
 
Wadau nauliza kwa aliye na taarifa juu ya majina ya kuomba ajira za kilimo zilizotolewa feb.17 na deadline kuwa march 3 mwaka huu,yatatoka lini?kwa alye taarifa tafadhal,tumechoka kusubiri



Hiyo naona wameipotezea.watu wa ustawi wa jamii katika tangazo hilo hilo la kazi wameitwa kwenye usaili. achana nao fanya mambo mengine ya msingi kwa mda huu.
 
Hiyo naona wameipotezea.watu wa ustawi wa jamii katika tangazo hilo hilo la kazi wameitwa kwenye usaili. achana nao fanya mambo mengine ya msingi kwa mda huu.

yap,hawajielew
 
Wadau nauliza kwa aliye na taarifa juu ya majina ya kuomba ajira za kilimo zilizotolewa feb.17 na deadline kuwa march 3 mwaka huu,yatatoka lini?kwa alye taarifa tafadhal,tumechoka kusubiri

vijana tunatakiwa kuwa na subira kwani kwani naamini kazi zinafanyika na nadhani twajua application ni nyingi na lazima zichambuliwe wapatikane walotimiza vigezo vyote na ndo mambo mengine yafuate,majibu mengine ya humu ndani ni ya kukatishana tamaa na ya kipuuzi inafikia mahali unashindwa kuelewa nia za watu wanaotoa majibu hayo,pia jitahidi kutembelea website mara kwa mara japo mara moja au mbili kwa kuwa na pia kuwa na subira hakika mwenye subira yupo katika njia ya mwenyezi mungu!
AHSANTE
 
Back
Top Bottom