wanatoa kwenye website yao tu tena wakitoa reference ni tangazo la lini na kwa nafas ganWadau hivi hawa jamaa majibu ya kuitwa kwenye usahili wanatoleaga wapi, ni kwenye website tu ama kwenye magazeti? Maana unaweza kukuta mtu ume apply alafu majibu yanatoka kwenye gazeti na we sio msomaji.
pia apart from kutoa majib kwa web wanakutumia taarfa kwenye namba yako ya simu coz km mm kipind hiki wamenitumia na sms inasema hivi
Unajulishwa kuwa umechaguliwa kuhudhuria Usaili,
kwa taarifa zaidi tafadhali tembelea Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira
www.ajira.go.tz
wanatoa kwenye website yao tu tena wakitoa reference ni tangazo la lini na kwa nafas gan