Sekretarieti ya ajira na hii ni kali

Sekretarieti ya ajira na hii ni kali

Posho City

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
648
Reaction score
418
Kuna nafasi za kazi zilitangazwa na hii sekretarieri kwa ajili ya academic officers pale CBE.

Nafasi ni nne lakini wameita usaili watu 360 maana yake ni 1:90.
 
sio huko tu mkuu pia kuna nafasi 4 za Marketing Officer Grade II zilitangazwa na TTB (TANZANIA TOURIST BOARD) usahili wameita wameita watu 310 kwa hiyo ratio ni 1:76.
 
sio huko tu mkuu pia kuna nafasi 4 za Marketing Officer Grade II zilitangazwa na TTB (TANZANIA TOURIST BOARD) usahili wameita wameita watu 310 kwa hiyo ratio ni 1:76.

Mbona hio ni kawaida kwa utumishi sasa wote wameapply wana vigezo ni jukumu lao kuwaita kwenye usahili
 
Nadhani tufike mahali tutafute options nyingine za kupata kipato tu, hapo ni wastage of time and resources kwa applicant wakati wao hapo wanapiga dili

Tupe hizo mbinu mpwa ili tuache kutegemea ajira
 
Nadhani tufike mahali tutafute options nyingine za kupata kipato tu, hapo ni wastage of time and resources kwa applicant wakati wao hapo wanapiga dili

Kweli ni wastage of time kwa applicants....Can u imagine that stupid ratio of 1:79....Vijana tujitume tuweze kujiajiri.Kikubwa ni kuthubutu,uaminifu na commitment.

Remember there are people with ideas (unique ideas) and there are people with money...Hawa wana tegemeana sanaa...They both have capital so vijana tusiseme hatuna MITAJI/CAPITAL.....Tutafakari na kuchukua hatua.
 
Kweli ni wastage of time kwa applicants....Can u imagine that stupid ratio of 1:79....Vijana tujitume tuweze kujiajiri.Kikubwa ni kuthubutu,uaminifu na commitment.

Remember there are people with ideas (unique ideas) and there are people with money...Hawa wana tegemeana sanaa...They both have capital so vijana tusiseme hatuna MITAJI/CAPITAL.....Tutafakari na kuchukua hatua.

Tupe hizo mbinu mpwa ili tuache kutegemea ajira

Mpwa wangu Honeyfaifh nadhani umepata jibu hapa, vinginevyo tuanzishe mjadala wa wawili tu tujue jinsi ya kusaidiana
 
Mpwa wangu Honeyfaifh nadhani umepata jibu hapa, vinginevyo tuanzishe mjadala wa wawili tu tujue jinsi ya kusaidiana

Nahisi hapo umeongea point.Nadhani mjadala wa wawili ni mzuri sana......lol
 
Kuna nafasi za kazi zilitangazwa na hii sekretarieri kwa ajili ya academic officers pale CBE.

Nafasi ni nne lakini wameita usaili watu 360 maana yake ni 1:90.

Hiyo mbona cha-mtoto. Accountant II nafasi 5 lakini wameita watu 763. Yaani 1:153.

Alafu wanataka hawa watu wooooote kutoka mikoa tofauti nchini wakajazane pale Kigamboni kwa ajili ya huu usahili, hovyoooo..
 
Wadau mishahara ya koplo na konstebo wa uhamiaji n kias gan? tafadhali wadau kwa mwenye ujuz wa hili anisaidie.
 
1. Kasi mpya, Nguvu mpya, Ari mpya na Kasi mpya.
2. Tumeweza, tumethubutu na tunazidi kusonga mbele.

CCM imetengeneza nafasi nyingi za ajira hata hii ya ratio ya 1:90 ni sehemu ya masalia
 
Bora hata RITA assistant registration officer wameita watu 154 kwa post 17 yaani 1:9.
 
Back
Top Bottom