josephat japhet
Member
- Aug 29, 2013
- 54
- 37
Nifate pmNaomba msaada kwa wanaotumia huu mfumo wa kuomba ajira za serikarin. Mara kadhaa sasa Kila nikifanya application inafail nandikiwa
"""Sorry! You can not apply for the job post, kindly Check Academic Programmes Qualifications Requirements for the Job Post""
Hii inatokea hata kwenye post ambazo nakuwa na qualifications nazo. Naomba mnisaidie shida ni Nini hapo.View attachment 2244597
Wakimjibu aje nimnunulie bia hapa kwa mama Sara.Watumie msg kwnye email yao
Mm naahidi kumtoa demu wangu awe beki tatu wake kama ajira portal watamjibuWakimjibu aje nimnunulie bia hapa kwa mama Sara.
Naomba msaada kwa wanaotumia huu mfumo wa kuomba ajira za serikarin. Mara kadhaa sasa Kila nikifanya application inafail nandikiwa
"""Sorry! You can not apply for the job post, kindly Check Academic Programmes Qualifications Requirements for the Job Post""
Hii inatokea hata kwenye post ambazo nakuwa na qualifications nazo. Naomba mnisaidie shida ni Nini hapo.View attachment 2244597
Hakuna sehem mtu wa intermediate akakubaliwa halafu bachelor of accountancy ikamgomea, labda pale wanapotaka CPA T.Mkuu, unge bainisha qualifications zako na post husika iliyosumbua kupokea Application yako, nadhani ingekuwa rahisi zaidi kutambua hitilafu inajitokeza kutoka wapi. Mfano, kuna nafasi 37 za NAOT zimetangazwa hapa juzi, lakini maelezo yaliyopo ni kuwa na shahada au astashahada ya uhasibu, PAMOJA NA Tax Management. Nyingine za hii awamu ya 1904 kada mbalimbali, wametaka wenye at least intermediate level ya NBAA; so ukiwa tu na bachelor ya accountancy system inaku reject automatically. Maelezo yangu yamejikita katika case ya Uhasibu, pengine u mmoja wa walio experience hiyo hali.
. . 🤔🤔 kwahiyo NBAA-wise aliyemaliza successfully intermediate level ni sawa tu na bachelor holder wa accountancy?Hakuna sehem mtu wa intermediate akakubaliwa halafu bachelor of accountancy ikamgomea, labda pale wanapotaka CPA T.
Hakuna sehem mtu wa intermediate akakubaliwa halafu bachelor of accountancy ikamgomea, labda pale wanapotaka CPA T.
😂😂 Ajira portal itaua watu 😂😂. . 🤔🤔 kwahiyo NBAA-wise aliyemaliza successfully intermediate level ni sawa tu na bachelor holder wa accountancy?
Nimesoma bachelor of education in science, nafasi ninayoomba ni mwalimu daraja la IIIC. Hii imetangazwa na NAOT, Na nikiangalia qualifications wanazozitaka minazoMkuu, unge bainisha qualifications zako na post husika iliyosumbua kupokea Application yako, nadhani ingekuwa rahisi zaidi kutambua hitilafu inajitokeza kutoka wapi. Mfano, kuna nafasi 37 za NAOT zimetangazwa hapa juzi, lakini maelezo yaliyopo ni kuwa na shahada au astashahada ya uhasibu, PAMOJA NA Tax Management. Nyingine za hii awamu ya 1904 kada mbalimbali, wametaka wenye at least intermediate level ya NBAA; so ukiwa tu na bachelor ya accountancy system inaku reject automatically. Maelezo yangu yamejikita katika case ya Uhasibu, pengine u mmoja wa walio experience hiyo hali.
acha niulizie ulizie, ntaleta mrejeshoNimesoma bachelor of education in science, nafasi ninayoomba ni mwalimu daraja la IIIC. Hii imetangazwa na NAOT, Na nikiangalia qualifications wanazozitaka minazo
Upo sawa maana intermediate level ndio equivalent ya degree kwenye fani ya uhasibu ingawa ukitaka kusoma CPA lazma uirudieHakuna sehem mtu wa intermediate akakubaliwa halafu bachelor of accountancy ikamgomea, labda pale wanapotaka CPA T.
Mpaka leo huna email ??Mi nipeni muongozo wa kuunda email nifungue system ya ajira portor yaani usiku wa jana nilikesha ila sikufanikiwa kufungua.