K ketikai New Member Joined Oct 24, 2014 Posts 4 Reaction score 0 Oct 20, 2015 #1 napatikana Moshi ila nafanya kazi sehemu yoyote Tanzania. nina uzoefu na Elimu ya kutosha kufanya kazi bila kubabaika. Mungu awabariki ahsanteni.
napatikana Moshi ila nafanya kazi sehemu yoyote Tanzania. nina uzoefu na Elimu ya kutosha kufanya kazi bila kubabaika. Mungu awabariki ahsanteni.
Planett JF-Expert Member Joined Mar 20, 2014 Posts 10,561 Reaction score 16,339 Oct 20, 2015 #2 Hapo umeua hadi # kabiasa
M Mareks Member Joined Oct 10, 2015 Posts 49 Reaction score 9 Oct 20, 2015 #3 uwe mvumikivu utapata ila tupia na ka picha basi tukuone
M MilioneaWaSasa Member Joined Jul 8, 2015 Posts 78 Reaction score 11 Oct 20, 2015 #4 Nipe # yako nyingine. Nataka niwe nakupigia hadi usiku wa manane!
jonas255 JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 225 Reaction score 112 Oct 20, 2015 #5 tuma vyeti vyako hanang district council, p.o.box 2, katesh-hanang... hiyo kazi ipo wazi
jonas255 JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 225 Reaction score 112 Oct 20, 2015 #6 usisahau kuambatanisha na barua... ni kazi ya serikali