Siku nyingine umwambie/umshauri dada yako huyo, akitaka kuandika tangazo la kazi achague lugha rasmi itakayotumika katika tangazo lake kama ni English basi iwe English tu kama kiswahili basi atumie kiswahili tu.
Itakuwaje muombaji wa kazi na yeye akachanganya lugha katika maombi yake ya kazi kiswahili na kingereza humo humo.
Alafu umwambie ajipambanue vizuri, anaitwa nani, ofisi yake iko wapi, inajihusisha na nini, anuani yake ni ipi nk.