Secretary mdada anahitajika haraka

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,662
SIFA

1. Umri usizidi miaka 30

2. Awe anajua kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza kwa ufasaha.

3. Awe na lugha nzuri kwa wateja na wafanyakazi wenzake.

4. Ajue kutumia kompyuta, Microsoft Office

5. Location ni Makumbusho, Dar es Salaam.

6. Awe na CV

Mawasiliano ni 0735093062
 
Mkuu hayo mawasiliano kwa ajili ya maulizo au kutuma CV? Naomba kujuzwa[emoji120]
 
Nipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…