ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 488
Nimemwambia aachane na ajira aende LAW SCHOOL KWANZA! HIZI AJIRA ZA low salary zitampa presha tu😂😂 UTUMISHI si watu Wazuri asee.
Nimemwambia aachane na ajira aende LAW SCHOOL KWANZA! HIZI AJIRA ZA low salary zitampa presha tu😂😂 UTUMISHI si watu Wazuri asee.
Kama ile paper ya TEMESA jamaa alikuwa nayo mwezi mmoja kabla...
Na dogo kaitwa oral na uhakika nafasi ni yake maana yuko na referee hapo temesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ni kiini macho tu Mkuu watoto wenye baba zao wameshabebwa halafu wale wasio na majina makubwa wataambiwa MKAJIAJIRI.
Usimlaum dogo laumu serikali iliyoshindwa kutengeneza mazingira na fursa za kutosha kuwa na ajira za watu wake.
Pochi nene + undugu, ndio vigezo vikuu mzee.
nipewe mimAaah wapi hata mashekhe watawapa wafagia misikiti na wapiga Adhana huku Mapadre watawapa wale Vijana wa kwaya yaani kiufupi bias haitoisha kwa mwanaadamu yeyote yule atakaepewa nafasi.
Ulitakiwa kugoma kufanya interview kama haujapewa huo ufafanuzi.Suala si mimi kukatwa ama kupita, wawe specific kiwango cha ufaulu wanaoutaka mkuu.
Kuna watu wana masters ya Education lkn wanafeli mtihani wa kufundisha shule ya msingi,Mdogo wangu ana masters ya sheria za kodi lakini kafeli mtihani wa tra!
Ukweli ni kwamba UTUMISHI ukiwa na maandalizi ya zima moto then ukafanye zile paper utaishia kusema ni rahisi na status inasoma NOT SELECTED, na kuona watu wanapewa paper, kikubwa ni kusali sanaa, kufanya maandalizi ya kutosha, utaona matunda yake, nilikuwa muhanga wa not selected, nikakaa chini kupiga shule, nikatoka uko now nipo job, msikate tamaa kikubwa ni kupambana na kumuomba mungu.Kwanza twambie wewe umekatwa au umepita? maana naona waliokatwa ndio wanao toa lawama na kuwapaka matope secretarity ya ajira......
Tatizo ni Kuitwa KAZINI mkuu wengine tunapenya sana hizo sehemu ila kazini ndo doh na Database nayo haiweleweki nowadys na kada zetu wengine post moja watu 10 MNAINGIA ORAL acha tuendelee na Ujasiriamali tu hakuna namna.Ukweli ni kwamba UTUMISHI ukiwa na maandalizi ya zima moto then ukafanye zile paper utaishia kusema ni rahisi na status inasoma NOT SELECTED, na kuona watu wanapewa paper, kikubwa ni kusali sanaa, kufanya maandalizi ya kutosha, utaona matunda yake, nilikuwa muhanga wa not selected, nikakaa chini kupiga shule, nikatoka uko now nipo job, msikate tamaa kikubwa ni kupambana na kumuomba mungu.
Acha kulia lia jamaa wako fair.....embu pata 100 usipoitwa njoo nikupeleke kwa John PombeRatio ya watu 5 kwa nafasi moja wangeifanya tangu written interview. Kwanini Waite watu zaidi ya 3,000 kwa nafasi 10? Kuna rushwa inatembea Secretariat ya ajira. Their time will come....
Dawa pata 100% tu ndo utawaweza. Au huna uwezo huo??Alama za juu ni kuanzia ngapi mpaka ngapi mkuu? Just be specific
"Ile pepa ata Charles Kichere hachomoi", they said.Mdogo wangu ana masters ya sheria za kodi lakini kafeli mtihani wa tra!
Ili awe Wakili Msomi sio??Nimemwambia aachane na ajira aende LAW SCHOOL KWANZA! HIZI AJIRA ZA low salary zitampa presha tu
Sasa mzee unatuuliza sisi humu kwani sisi ndio psrs? Ungewauliza wenyeweKama posts ni kumi basi wangeita watu kumi na tano ama ishirini. Why 46??
Wapo humu pia bossSasa mzee unatuuliza sisi humu kwani sisi ndio psrs? Ungewauliza wenyewe
Upo sahihi piaVijana someni kozi ambazo wengine hawawezi kuzisoma hapo unajidai interview peke yako
Tupo Tanzania mkuu hicho unachokisema sio hapaVijana someni kozi ambazo wengine hawawezi kuzisoma hapo unajidai interview peke yako
Kama ipi boss? Maana kuna wazee wa mafuta na gesi wametelekezwa huu mfano.Vijana someni kozi ambazo wengine hawawezi kuzisoma hapo unajidai interview peke yako
Vipi dogo Kapata kazi maana majina ya walioitwa kazini yametoka.Kama ile paper ya TEMESA jamaa alikuwa nayo mwezi mmoja kabla...
Na dogo kaitwa oral na uhakika nafasi ni yake maana yuko na referee hapo temesa
Sent using Jamii Forums mobile app